Ajira za watumishi 2016/2017

Ajira za watumishi 2016/2017

Hii serikali haieleweki na kwa jinsi walivokaa kimya hivi hawana mpango wa kuajiri mwaka huu maana wanajificha kwenye muavuli wa zoezi la uhakiki
 
Jamn kama unataka kuadiwa kwenye group la wahanga wa ajira weka namba ako au nitext kwenye 0786520885 uwe member
 
Tatizo la ajira kwa watumishi katika mwaka tajwa inaonekana ni mfupa ulioishinda serikali ya JPM.Hakuna kiongozi hata mmoja wa serikali iwe Mh.Rais mwenyewe au wasaidizi wake mwenye jibu la uhakika kuhusu swala hili...Mh.Rais mbele ya umma wa watanzania alisema ajira zipo lakini anasitisha kutoa vibali ili kuhakiki watumishi hewa ambalo ni jambo zuri..lakini ni zaidi ya miezi miwili sasa sio mawaziri,Rais mwenyewe hata waandishi wa habari ambao wamekwisha hoji juu ya kauli mwwndelezo ya hili swala baada ya muda aliousema mtufuku Rais kupita..mimi naamini serikali hii ina watu makini itoe majibu ya uhakika juu ya swla hili ili kama vijana waliomaliza katika fani tofauti waamue ni uelekeo upi wachukue juu ya hatma ya maisha yao..tena itoe specific day ya kutoka kwa ajira hizi kama zipo kuliko kutoa majibu kama ya kina Jaffo na Kairuki eti mda wowote kwanzia sasa..mi sijawahi kuuona huo muda wowote...Wana jukwaa hili swala ni letu sote..ndugu zetu wana msongo wa mawazo juu ya swala hili..hata sekta binafsi zinashindwa kuwa ajiri watanzania hawa kwa kuhofia kua mda ambao haujulikano serikali itatoa ajira hvyo watumishi waliokua wamewachukua kulamizika kuondoka kwenye vituo vya kazi...naiomba serikali yangu sikivu itoe jibu lenye mwafaka sasa kwa Taifa letu..kama ajira zipo zinatoka lini na kama hazipo waombe radhi kwa kuwapotezea muda na kuwa hadaa watanzania..
Yaan nina hasira na hivyi nepata hasara katika biashara na hiyo pesa yachuo yaan natamani kuwaona Al shabaab....daah huo mshahara wa miez mitatu ningefidia kwenye biashara zangu aki yanani ntajeruhi mtu
 
Tatizo sio ajira Tatizo mambo hayaeleweki Mara bughet Mara database mara ziada ya walimu Mara ukaguzi Mara walimu arts kuamishiwa msingi huu ni uongo Jaffo sisi sio watoto kakae chini tunataka majibu yenye mashiko
 
Hakuna kitu nachukia kama mtu anawaza kuajiriwa. Kwann usijiajiri. Mm nimwaka wa 3 since nimemaliza chuo kikuu sijawahi kuandika job application letter nafanya biashara na ninatengeneza pesa mbaya
 
Wameshaajiriwa Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya pamoja wakurugenzi wa Halmashauri wengi ni ajira mpya
 
Wengine subirini kumalizike ule "utafiti wa tathimini ya kazi"
 
wasiwasi wanguni pale jaffo aliposema watawahamisha walimu waziada kwenda primary...je wale wapya wataenda wapi? je walimu wote wa art dip na gegree wataajiriwa primary? je wale wacertificate wataenda wp? ni linzoez hilo litakanlika? asee its so sad
 
wasiwasi wanguni pale jaffo aliposema watawahamisha walimu waziada kwenda primary...je wale wapya wataenda wapi? je walimu wote wa art dip na gegree wataajiriwa primary? je wale wacertificate wataenda wp? ni linzoez hilo litakanlika? asee its so sad
Hapo ndo kuna umuhimu wa kutumia silaha maana maneno tu na kuandamana M@gu anajivunia jeshi mtaani watafanya mazoez hadi majalalani...
 
Jamani mwezi wa nne tangu ajira zisitishwe 13 june 2016 na hakuna taarifa mpya na aliesitisha anashindwa kujitokeza hadharani kuweka wazi maana hali ni ngumu mtaani
 
Waziri wa Tamisemi tunaomba mtuweke wazi kama ajira zitatoka lini maana mnatutesa sana maumivu yake ni zaidi ya mwanafunzi aliyepigwa mbeya sisi tumeanza kuisoma namba toka mwaka jana na huu unaenda ukingoni na hakuna kauli yeyote ya serikali
 
Back
Top Bottom