mchimbadhahabutz
Member
- Oct 15, 2016
- 56
- 49
ILA HATA WAMASAI WANENE NI ADIMU SANA, SIJUI KWA NIN WAKATI MISOS WANAYOKULA 90% INANENEPESHA
Nilishawahi kukutana na Mmasai aliye na ulemavu,ila hata mimi nilishangaa sana kwani ilikuwa ni mara yangu ya kwanza,na sijawahi kuona mwingine tena mpaka leo yapata miaka takribani sita iliopita.Hawa jamaa nilichokigundua wanaishi maisha natural sana,ila sasa hivi tamaa zao za kujiingiza kwenye maisha ya kisasa ya kunywa vi soda,vi bia,vi maji freshi pamoja na vi biscuti itawagharimu,kwani hivi vitu ukienda kwenye jamii wanazoishi vinapatikana kwa wingi sana.Nikuulize swali la kizushi,hivi unajua kuwa mwanamke wa kimasai hana nyewele sehemu yoyote ya mwili wake,kuanzia kichwani,nyusi,kope,makwapani,mpaka sehemu nyingine yoyote unayoijua wewe?Wakuu hivi hii jamii ya wenzetu Ni kwamba imebalikiwa? Au?
Je! Wewe ulishawahi kukutana na Masai mwenye ulemavu!!???
daah....yenu bar, hatar sn kwa supuuVilema wapo,pale yenu bar ubungo,kuna kilema masai
Mlemavu mmasai yupo huku MbeyaWakuu hivi hii jamii ya wenzetu Ni kwamba imebalikiwa? Au?
Je! Wewe ulishawahi kukutana na Masai mwenye ulemavu!!???
Kajadiliane na maza kwa weledi mkubwa utagundua kituahahahaha Acha uongo kijana wangu ahaha,, mimi mmasai na ndevu mbona?
Duh! Ni kweli mkuu sikumbuki kuona hata Mwanamke wa kimasai akiwa na Nyusi! Kwa hiyo mkuu hata Papuchi zao hazina zile nywele zinazoizunguka!??Nilishawahi kukutana na Mmasai aliye na ulemavu,ila hata mimi nilishangaa sana kwani ilikuwa ni mara yangu ya kwanza,na sijawahi kuona mwingine tena mpaka leo yapata miaka takribani sita iliopita.Hawa jamaa nilichokigundua wanaishi maisha natural sana,ila sasa hivi tamaa zao za kujiingiza kwenye maisha ya kisasa ya kunywa vi soda,vi bia,vi maji freshi pamoja na vi biscuti itawagharimu,kwani hivi vitu ukienda kwenye jamii wanazoishi vinapatikana kwa wingi sana.Nikuulize swali la kizushi,hivi unajua kuwa mwanamke wa kimasai hana nyewele sehemu yoyote ya mwili wake,kuanzia kichwani,nyusi,kope,makwapani,mpaka sehemu nyingine yoyote unayoijua wewe?
Atakua ndo yule niliyemuona kwenye tv nadhani.maeneo ya ubungo mataa huwa namuona mmasai mmoja mlemavu(kiwete) ila anaendesha baiskel ya taili mbili, mjanjamjanja hivi, kama sio chinga basi ni pusher yule
Ila Mimi nishawahi kuona Mama wa Kimasai mnene!ILA HATA WAMASAI WANENE NI ADIMU SANA, SIJUI KWA NIN WAKATI MISOS WANAYOKULA 90% INANENEPESHA
Ukimpata nijulishe na Mimi mkuu!Mimi namtafuta mmasai mwenye ndevu kwanza
Upo sahihi mkuu! Hata Mimi nakumbuka baada ya kukumbushwa hapa!Kwani yule alisaidiwa bajaji na JPM na akaonyesha TBC taifa, "hakua MMASAI"?
Ni mlemavu aliekua anatumia baiskeli ya magurudumu mawili.
Duh! Sijawahi hata kusikia! Au wanaenda kufia kwao!?Msiba wa Mmasai Dsm?
ahahah hakuna haja, maana mi na mzee copy and paste,, kuna watu ambao hawanijui ila wakiniona tu wanasema we mtoto wa mzee fulani...... ahahhaKajadiliane na maza kwa weledi mkubwa utagundua kitu