Recent content by Deo Corleone

  1. Deo Corleone

    MC Mtoto ila yanayomtoka si umri wake, imekaaje?

    Kuna sehemu huko Dar sio rafiki kulea mtoto
  2. Deo Corleone

    Nimeingia cha kike kwa Mkenya aitwaye Mike Luswety website designer Mediapix

    Tukiwaomba mchongo mtupe sisi hamtaji,mnawapa wahuni wa Kibera huko na huwezi kuwapata!
  3. Deo Corleone

    Kuna dogo kashinda Millioni 58 kwa kubeti. Mnashauri nini?

    mtu ana miaka 29 anakuwaje dogo? huku namtumbo huyo mtu anakuwa ana mjukuu kabisa
  4. Deo Corleone

    Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Waambie na hao wanawake wasitubambikie watoto
  5. Deo Corleone

    Nashindwa kuelewa, hapa kuna upendo kweli au napotezewa muda?

    Atakupa laana shauri yako,hebu muache huyo kibabu njoo kwangu kijana mwenzio
  6. Deo Corleone

    Jinsi ya Kupata Pesa Mtandaoni kwa Kufanya Survey, CPA & CPL Marketing

    Hizo njia ni kweli zipo na wanafanikiwa ila swali letu ni lile lile kama wewe unapata hizo dola 20,000 kwa nini utake hizi buku buku zetu ili utufundishe?
  7. Deo Corleone

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Kasimamie uuzwaji wa hiyo nyumba mlipe madeni yote muanze upya ,akirudia tena muache tu apambane mwenyewe,ukimuendekeza hutopiga hatua kabisa
  8. Deo Corleone

    Uchumba wa muda mrefu umenichosha

    halafu huyu sio mwanamke,ni dume limekaa hapo maghetoni Kindondoni Biafra linatuchora humu
  9. Deo Corleone

    Uchumba wa muda mrefu umenichosha

    una miaka mingapi? hebu njoo Pm tuongee vizuri
  10. Deo Corleone

    Uchumba wa muda mrefu umenichosha

    sasa si ndoa tayari hiyo? We mtegeshee tu mtoto
  11. Deo Corleone

    Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

    We acha kudanganya watu bwana.Mahakama ya rufaa kwani mashahidi wanaitwa upya,si wanapitia tu ushahidi uliotolewa mahakama za chini yake? Halafu hakimu anatoaje ushahidi?
Back
Top Bottom