kama angevaa wanavyotaka,angepunguzwa?
mimi nilivaa kadeti zile ngumu yenye mifuko nyuma nikaambiwa hazitakiwi nikaenda nikanunua suruali ya 5000 nikabadilisha nikaenda kufanya pepa.
kwani kati ya jeans na suruali oficial ipi ni gharam kubwa?
angeenda uchi kisa hana nguo ningeukuelewa, mtu kapiga jeans ,Tshirt na Raba ambazo ni bei kubwa kuliko suruali na shati halafu unatetea.
hoja yake anasema hawakutoa taarifa wakati wanatoa kila siku hizo taarifa
nina imani unatania. kuna suruali na mashati hadi ya 5000. na hizo taarifa mbona zinatolewa huko instagram,facebook,whatsap cahneel kila kukicha?
usitetee ujinga Chief
Hizi taarifa zipo na zinatolewa kla siku kwenye media zao ,lakini wewe uko bize na TIKTOK na kubishana mambo ya simba na yanga.
halafu uanendaje kufanya usaili na hayo mavazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.