Huwa nasikia wapo, japo huhusisha kafara . Kuwapata Nako ni tizi sana zaidi utapata matapeli utapigwa kweli kweli . Piga kazi mda ukifika utatoboa mkuu.
Nimewahi nunua album 2 tu katika maisha yangu
1.Machozi , jasho na damu, na
2. A.k.A Mimi ( mangwea)
Ngwea namkubali sana mapini yake huwezi kuyakosa kwenye playlist Yangu,
Dizasta vina hili ni tatizo ameumiza kichwa sana . Maishari Yana Jenga sana ( mwili , akili hata uchumi) ...
Ukwa mwongo uwe na kumbukumbu, si ulisema wwe una degree ya engineering Tena umeioigia Moscow, sio voice uume kuwa je mwalimu Tena na ulimponda yule ticha eti ana kuvimbia mbwa wewe huna akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.