WapoNaomba kuuliza jamani,hivi ni kweli Kuna waganga wanaoweza kumpa mtu utajiri Kwa namna yoyote? Kama yupo mtu anaeweza kunisaidia kuelewa vizuri kuhusu hili naomba anisaidie inbox au 0747658718
AahaaaaaaaKuwa makini kijana waganga wanasema ukikosa wa kienyeji leta hata broila.
Kuna mmoja aliniambia in a very simple way "Nitumie hiyo 30k, mwizi wako utakutana naye kesho akija kulia mlangoni kwako", hapo nilikuwa nimeibiwa ka-laptop kangu. Nikaona anataka apokee hela alafu afanye uganga kwa bluetooth nikapotezea. Toka siku ile sijawahi amini haya mambo ya kina manyangaKuwa makini kijana waganga wanasema ukikosa wa kienyeji leta hata broila.
Yaani kama wapi wew nielekezetuWaganga wapo ila una moyo
Hatutaki moyo lelemama
Mwanangu kazi nshapiga mpaka basi ila daaaah kutoboa ni kipengeleHuwa nasikia wapo, japo huhusisha kafara . Kuwapata Nako ni tizi sana zaidi utapata matapeli utapigwa kweli kweli . Piga kazi mda ukifika utatoboa mkuu.
Uzi umefungiwa hapa kwa hii point 👆🏽Mwanaume unakataje tamaa ya maisha ,mpaka utake utajiri wa ndumba???