Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,217
- 123,497
Mkuu boshoo sio msanii mbovu wakumuweka kwenye rank za kina lunyaKwanza hao kina boshoo ndo hamna kila kitu. Uwezo wao ni hamna ni dhaifu Ila hamna namna ndo maana Nikki mbishi kwenye ngoma ya maji Ni uhai Kuna mstari anasema "naaumia kujua chin bees ndo Yule King Kong" yaani kina chin bees wanaonekana ndio warithi wa kina chid Benz.. kilasiku... Mistari Yao Ni Kama mfano wa kile kisichofaa kuandikwa/ sauti zao si za michano walipaswa wajiunge misifa...."![]()
Huyu ni zao la Tamaduni, tamaduni haijawahi toa kitu kibovu hata siku moja
Boshoo ni msanii mzuri na amefanya poa sana kwenye tracks zake za mwanzo na hizi za mwishoni mwishoni baadhi
Kinachokuja kumtofautisha na zamani ni jinsi anavyo fanya mziki kwa kuangalia soko la sasa linatakaje.
Dogo ni story teller mzuri kuna ngoma yake moja (nimeisahau jina nitaiweka hapa nikiikumbuka) kachana vizuri sana mle
"Walete" aliyomshirikisha na Dizasta umeisikia?
Baadhi ua lines kwenye ngoma yake ya "Nilipotoka"
Natoka kwenye kona za mateja kujidunga, wale walotoka jela kujifunza.../
Napotoka mimi shujaa ni mama muuza, anaye somesha watoto huku polisi wanambugudha.../



🫡


