Msaada tutani: Mwenye mkataba wa biashara ya Bodaboda

Cheki pm mkuu
Mkuu watu wengi sana wamekuomba huo mkataba PM, kwa mwitikio wa uhitaji wao ni kielelezo kuwa wapo wengi zaidi ya hao ambao wanauhitaji.

Ungeuweka humu public ungesaidia wengi sana, nakuomba uuweke humu ili watu wore wenye uhitaji wafaidi
 
Mrejesho wa jinsi biashara inavokwenda na changamoto zake. Huenda changamoto utakazokutana nazo zikamsaidia mtu mwingine anaeanza au anaefanya biashara hii
Kiongozi, japo ni muda mrefu kidogo umepita tangu UZI huu uwe hewani, ila nitshukuru sana kiongozi kama utanifowrdia na mimi huo mkataba. Asante
 
Hii biashara kwa mkataba haina faida hata kidogo

Pikipiki inauzwa 2.5 million. Mkataba unaweka wa miezi 10 ambao ni sawa na kulipwa Tsh million 3 (10,000×30×10= Tsh 3,000,000=) kwa mwaka. Na baada ya hapo mkataba unaisha.

Hiyo ni sawa na kwa siku kuingiza faida ya Tsh 50,000/= kwa mtaji wa Tsh 2,500,000/=

Hapo sijaongelea risk kama pikipiki kuibiwa, kupata ajali, kupata dereva kimeo n.k

Hata mkataba ungekuwa wa miezi 12, bado faida itakuwa ni Tsh 91,000/= kwa mwezi, faida hii ni ndogo sana ukilinganisha na mtaji unaoweka. Mimi naona njia sahihi ya kufanya hii biashara bado ni kuletewa kiwango cha siku.
Kwa hesabu hii uko sahihi kabisa ila nadhan wengi hutimia hiyo ya mkataba kama njia ya kumlazimisha dereva kutunza chombo na kupunguza vipengere
 
Back
Top Bottom