Serikali inasaidia kutoa mchango mdogo sana kwenye huduma zote za jamii ambazo huendeshwa na private sector which include religious NGO's......
Mfano unaweza anzisha hospital,ukaiomba serikali ikuletee watumishi....ikiona inafaa huwa inafanya hivyo..ndo maana Bugando,Hydom,KCMC,Agha...
si kweli........Its just an exploration....hata amount ya reserve haijajulikana.........drilling pekee ndio yaweza toa jibu......still wapo kwenye process
Community medicine(including DMO weeks),psychology,sociology,psychiatry(tunawafundisha wagonjwa social skills nk ila wasiwe deviants kwenye jamii......)...na development studies for God's sake
Hujui unachokieleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.