Sahara media na ujio wa king'amuzi cha continental!!

Kipis

JF-Expert Member
Jul 23, 2011
492
61
Wadau heri ya X-mass na Mwaka mpya!! Tukiwa ndani mfumo mpya kwa mkoa wa Dar es Salaam wa Kidijitali,tunashuhudia wimbi la ving'amuzi likishamiri kwa kishindo. Hii itakuwa faraja kwa watanzania,baada ya kampuni ya sahara media kututangazia kupitia media zao kuwa king'amuzi kijulikanacho kwa jina la continental DVB T2 ambacho kitakuwa na uwezo wa kurekodi vipindi utakavyovihitaji,hivi karibuni kitakuwa sokoni.
Siku za hivi karibuni,niliona tangazo kupitia chanel 5 nao wakitutangazia ujio wa
king'amuzi cha Digtek.Hii itakuwa imefikisha jumla ya makampuni matano yanayo suply ving'amuzi'nayo ni Easy tv,Starmedia,Ting,Digtek na Sahara media.Ombi langu kwa mamlaka husika yaani Tcra ijaribu kuangalia (1) ni namna gani inaweza kumsaidia mtanzani kuweza kumudu gharama za kuweza kumiliki na kukihudumia king'amuzi
(2) mamlaka iangalie ni kwa namna ipi wateja wa hivi ving'amuzi wataepuka kuwa na lundo la ving'amuzi majumbani mwao.
Ni hayo tu wadau.
 
Ina maana umoja wa ITV na Star tv umesambaratika? Maana ilikuwa inatangazwa watakuwa na kampuni moja na nilifikiri watasambaza king'amuzi cha aina moja. Sasa kila mtu anaibuka na king'amuzi chake.
 
TCRA kama nationa regulator wako tu maofisini wamelala
kazi yao kubwa ni kumlinda mlaji lakini wao ndio wanapewa ulaji mifukoni mwao
haingii akilini TRCA kuruhusu makapmuni mengi huku kila mmoja ikikataa kurusha channel za wenzie
kila mwombaji wa lesseni anatakiwa tena kwa shuruti kurusha bure local channels bure kwa manufaa ya mtumiaji
nadhani ahwajasoma electronic communication au hawajui watendalo huko maofisini kama national regulator shame upon them.
mkiona mizengwe watu wa dar fungueni kesi mahakamani mara moja under certificate of urgency mzuie amri ya TCRA YA KUZIMA MITAMBO YA ANAOLOGIA HUKU WAKIJUA MWANANCHI ANAUMIA, mawakili mko wapi? amkeni
pelekeni fasta petition mahakaa kuu. hakuna cha notice ya siku 90 kwa vile hii ni urgent matter.
 
TCRA kama nationa regulator wako tu maofisini wamelala
kazi yao kubwa ni kumlinda mlaji lakini wao ndio wanapewa ulaji mifukoni mwao
haingii akilini TRCA kuruhusu makapmuni mengi huku kila mmoja ikikataa kurusha channel za wenzie
kila mwombaji wa lesseni anatakiwa tena kwa shuruti kurusha bure local channels bure kwa manufaa ya mtumiaji
nadhani ahwajasoma electronic communication au hawajui watendalo huko maofisini kama national regulator shame upon them.
mkiona mizengwe watu wa dar fungueni kesi mahakamani mara moja under certificate of urgency mzuie amri ya TCRA YA KUZIMA MITAMBO YA ANAOLOGIA HUKU WAKIJUA MWANANCHI ANAUMIA, mawakili mko wapi? amkeni
pelekeni fasta petition mahakaa kuu. hakuna cha notice ya siku 90 kwa vile hii ni urgent matter.

Mbona ni mapema sana ndugu fanya subira mi nina imani mambo yatakua sawa tu.ivi uliwahi kufikiri kwamba watz mpaka wa vjjni wangeweza kumiliki simu?Ebu ona namna fedha za mitandao zinavyo saidia walalahoi je uliwahi kuliwaza
 
MKuu hii sio mapema
hata nchi za wenzetu ulaya bado wanatumia both analogy na digital
mitambo ya analogia haijazimwa kwani sio wote waliofikwa na cables ambao wanatumia fibres,kwa Tanzania tumekurupuka tena sana
kulinganisha simu na mawasiliano ya tv ni vitu viwili tofauti. ni option mtu kuwa na simu lakini its mandatory kwa mtanzania kupata habari kwa njia ya tv kulingana na uwezo wake na teknolojia iliyopo hadi pale elimu stahiki na uchumi kuimarika. Mtanzania anaeishi chini ya dola moja kwa siku utamlazimisha alipe sh 10,000 kwa mwezi? hii ni technical denial ya the right to get information.
ni maeneo mengi dar watu wana vingamuzi lakini signals ni poor lakini terrestial wanapata vizuri sasa kwanini uwalazimishe vingamuzi ilihali even signals sio nzuri?
la pili inakuwaje TCRA wakubali kampuni kama DSTV,star times ,agape nk wakatae kuingiza bure local channels
lengo la sheria ni kumlinda mtumiaji sasa kama TCRA wameshindwa kama kazi yao ni nini kama sio kunywa chai ofisini na kuinjoy vioyozi hapo ofisin?
kama national regulator their slipping or they are silent that means they have to vacate their office and let private regulator take the move.
tatizo tunafanya kazi kwa mazoea bila kujali watanzania wanaumia.
wao wanaibuka tu tunazia mitambo so what? walifanya savei ya kutosha kuhusu signals?
wamehakikisha hizi kampuni zimezingatia matakwa ya watumiaji? kwanini mtu awe na vingamuzi vingi?
inachekesha kama sio kuhuzunisha.

Mbona ni mapema sana ndugu fanya subira mi nina imani mambo yatakua sawa tu.ivi uliwahi kufikiri kwamba watz mpaka wa vjjni wangeweza kumiliki simu?Ebu ona namna fedha za mitandao zinavyo saidia walalahoi je uliwahi kuliwaza
 
mi nadhani kuna uvivuwa kufuatilia habari na aina za channel (contents/programms).nikianzana na ndugu KIPS kwenye post yako umesahau kulist kampuni ya ZUKU TV. Mr Lokissa, dunia imeweka mwisho wa kutumia analogy ni kabla ya 2015. Kama wewe ni mtanzania unayeishi tanzania utakuwa unaelewa hulka za watanzania, kukaa na kungojea kuongezewa muda, je tusipoanza mapema tungoje 2014 december, tutaomba extension ya mudakwa nani? na pili suala la kuhamia digital tanzania, tcra imetowa leseni kwa kampuni tatu (3) tu yaani STAR MEDIA, ZUKU TV na TING. kwa hiyo katika kujadili tcra hawahusiki na upangaji wa channel kwenye kampuni tofauti na hizi mfano wa digtek,continental, dstv na easy tv. na katika kampuni zilizopewa leseni, zimeshurutishwa kutoa bure huduma ya channel nne za habari (TBC1, ITV, Channel 10 na Star Tv) pamoja na channel moja ya burudani (EATV). pamoja na kwamba hizi kampuni zimepewa lesseni ya kutoa huduma lakini pia zinahitaji kupata pesa za kujiendesha (zimeajiri, zimekodi/kujenga maofisi, zinalipa kodi, zina hudumia miundo mbinu) sasa kama itakuwa ziweke channel zooooooooooote za tanzania bure huoni itakuwani kuzitia hasara??. Mi nadhani wako sahihi kwa kutoa hizo channel 5. fikiria hao wenye hizo channel nyingine wanaingiza faida iweje wenye kampuni za decoder wasipate faida? hipikila mkoa ukitaka uwe na channel yake???? tutakuwa na channel ngapi za bure???? si decoder nzima??? kama ungefuatilia jamboleo yaTBC1 asubuhi hii ungeweza kusikiliza na kuuliza maswali mengi maana maafisa wa tcra walikuwepo pale kujibu maswali ya wananchi kuhusu digital. lakini katika maelezo niliyoyapenda zaidi ni ufafanuzi wa miundombinu ya hizi kampuni tatu na zile nyingine pamoja na leseni zao. ni kwamba kampuni tofauti na star media, zuku na ting hawakupewa ruhusa/msaada wa kujenga miundombinu nchini. wao wanatumia satellite kurusha matangazo yao kutoka huko waliko (mfano afrika kusini kwa Dstv) channel inayotakakujiunga na DSTV itatakiwa kujiwekea miundombinu yake ya kuweza kuonekana huko. lakini kampuni zetu tatu zenyewe zinatumia miundombinu ya ardhini (Terrestrial) kurusha matangazo hivyo wanashirikiana na serikali (tcra) kuweka hiyo miundo mbinu. kwa hiyo kama suala ni gharama ya kulipia UNAWEZA KUPATA HABARI BILA KULIPIA kupitia channel 5 za bure. Na mwisho nikuulize, taarifa za kuhamia digital zilianza kutangazwa mwaka 2010 watu wakapuuza kununua ving'amuzi lakini kuanzia Januari 1 2013 (jana) watu wanabanana kwenye foleni ya ving'amuzi je watuhawa wamepata fedha za king'amuzi usiku wa dec 31 2012???? tuende na mabadiliko jamani tuache kulalamika. Mbona DSTV wanawalipisha kwa Dola na mnalipa ili muone CNN, supersport hamlalamiki????
 
Digitek na Continental mbona hawataji channels zao ili tujue mapema pamoja na gharama zao?
 
mi nadhani kuna uvivuwa kufuatilia habari na aina za channel (contents/programms).nikianzana na ndugu KIPS kwenye post yako umesahau kulist kampuni ya ZUKU TV. Mr Lokissa, dunia imeweka mwisho wa kutumia analogy ni kabla ya 2015. Kama wewe ni mtanzania unayeishi tanzania utakuwa unaelewa hulka za watanzania, kukaa na kungojea kuongezewa muda, je tusipoanza mapema tungoje 2014 december, tutaomba extension ya mudakwa nani? na pili suala la kuhamia digital tanzania, tcra imetowa leseni kwa kampuni tatu (3) tu yaani STAR MEDIA, ZUKU TV na TING. kwa hiyo katika kujadili tcra hawahusiki na upangaji wa channel kwenye kampuni tofauti na hizi mfano wa digtek,continental, dstv na easy tv. na katika kampuni zilizopewa leseni, zimeshurutishwa kutoa bure huduma ya channel nne za habari (TBC1, ITV, Channel 10 na Star Tv) pamoja na channel moja ya burudani (EATV). pamoja na kwamba hizi kampuni zimepewa lesseni ya kutoa huduma lakini pia zinahitaji kupata pesa za kujiendesha (zimeajiri, zimekodi/kujenga maofisi, zinalipa kodi, zina hudumia miundo mbinu) sasa kama itakuwa ziweke channel zooooooooooote za tanzania bure huoni itakuwani kuzitia hasara??. Mi nadhani wako sahihi kwa kutoa hizo channel 5. fikiria hao wenye hizo channel nyingine wanaingiza faida iweje wenye kampuni za decoder wasipate faida? hipikila mkoa ukitaka uwe na channel yake???? tutakuwa na channel ngapi za bure???? si decoder nzima??? kama ungefuatilia jamboleo yaTBC1 asubuhi hii ungeweza kusikiliza na kuuliza maswali mengi maana maafisa wa tcra walikuwepo pale kujibu maswali ya wananchi kuhusu digital. lakini katika maelezo niliyoyapenda zaidi ni ufafanuzi wa miundombinu ya hizi kampuni tatu na zile nyingine pamoja na leseni zao. ni kwamba kampuni tofauti na star media, zuku na ting hawakupewa ruhusa/msaada wa kujenga miundombinu nchini. wao wanatumia satellite kurusha matangazo yao kutoka huko waliko (mfano afrika kusini kwa Dstv) channel inayotakakujiunga na DSTV itatakiwa kujiwekea miundombinu yake ya kuweza kuonekana huko. lakini kampuni zetu tatu zenyewe zinatumia miundombinu ya ardhini (Terrestrial) kurusha matangazo hivyo wanashirikiana na serikali (tcra) kuweka hiyo miundo mbinu. kwa hiyo kama suala ni gharama ya kulipia UNAWEZA KUPATA HABARI BILA KULIPIA kupitia channel 5 za bure. Na mwisho nikuulize, taarifa za kuhamia digital zilianza kutangazwa mwaka 2010 watu wakapuuza kununua ving'amuzi lakini kuanzia Januari 1 2013 (jana) watu wanabanana kwenye foleni ya ving'amuzi je watuhawa wamepata fedha za king'amuzi usiku wa dec 31 2012???? tuende na mabadiliko jamani tuache kulalamika. Mbona DSTV wanawalipisha kwa Dola na mnalipa ili muone CNN, supersport hamlalamiki????
Mkuu.....sikumbuki kuhusu ZUKU......ZUKU inachukuliwa kama ilivyo dstv.....
 
Ina maana umoja wa ITV na Star tv umesambaratika? Maana ilikuwa inatangazwa watakuwa na kampuni moja na nilifikiri watasambaza king'amuzi cha aina moja. Sasa kila mtu anaibuka na king'amuzi chake.

Mkuu ITV hawajasema kama watakuwa kwenye king'amuzi cha DIGI-TEK na wala hawajasema kama ni cha kwao,kwa hiyo inawezekana likawa i tangazo tu la biashara kama ambavyo wamekuwa wakitangaza matangazo ya startimes na ilhali hawapo huko.
 
Mkuu ITV hawajasema kama watakuwa kwenye king'amuzi cha DIGI-TEK na wala hawajasema kama ni cha kwao,kwa hiyo inawezekana likawa i tangazo tu la biashara kama ambavyo wamekuwa wakitangaza matangazo ya startimes na ilhali hawapo huko.

Inabidi wawe wazi sasa. Na wanaotangaza visimbuzi vipya wataje muda maalum watakaoanza maana kusema tu hivi karibuni ni kama usanii fulani.
 
Wadau heri ya X-mass na Mwaka mpya!! Tukiwa ndani mfumo mpya kwa mkoa wa Dar es Salaam wa Kidijitali,tunashuhudia wimbi la ving'amuzi likishamiri kwa kishindo. Hii itakuwa faraja kwa watanzania,baada ya kampuni ya sahara media kututangazia kupitia media zao kuwa king'amuzi kijulikanacho kwa jina la continental DVB T2 ambacho kitakuwa na uwezo wa kurekodi vipindi utakavyovihitaji,hivi karibuni kitakuwa sokoni.
Siku za hivi karibuni,niliona tangazo kupitia chanel 5 nao wakitutangazia ujio wa
king'amuzi cha Digtek.Hii itakuwa imefikisha jumla ya makampuni matano yanayo suply ving'amuzi'nayo ni Easy tv,Starmedia,Ting,Digtek na Sahara media.Ombi langu kwa mamlaka husika yaani Tcra ijaribu kuangalia (1) ni namna gani inaweza kumsaidia mtanzani kuweza kumudu gharama za kuweza kumiliki na kukihudumia king'amuzi
(2) mamlaka iangalie ni kwa namna ipi wateja wa hivi ving'amuzi wataepuka kuwa na lundo la ving'amuzi majumbani mwao.
Ni hayo tu wadau.

ratiba yake ikoje kusamba katika mikoa mingine
 
TCRA kama nationa regulator wako tu maofisini wamelala
kazi yao kubwa ni kumlinda mlaji lakini wao ndio wanapewa ulaji mifukoni mwao
haingii akilini TRCA kuruhusu makapmuni mengi huku kila mmoja ikikataa kurusha channel za wenzie
kila mwombaji wa lesseni anatakiwa tena kwa shuruti kurusha bure local channels bure kwa manufaa ya mtumiaji
nadhani ahwajasoma electronic communication au hawajui watendalo huko maofisini kama national regulator shame upon them.
mkiona mizengwe watu wa dar fungueni kesi mahakamani mara moja under certificate of urgency mzuie amri ya TCRA YA KUZIMA MITAMBO YA ANAOLOGIA HUKU WAKIJUA MWANANCHI ANAUMIA, mawakili mko wapi? amkeni
pelekeni fasta petition mahakaa kuu. hakuna cha notice ya siku 90 kwa vile hii ni urgent matter.
Ni muda muafaka wa kuwashtak tcra
 
MKuu hii sio mapema
hata nchi za wenzetu ulaya bado wanatumia both analogy na digital
mitambo ya analogia haijazimwa kwani sio wote waliofikwa na cables ambao wanatumia fibres,kwa Tanzania tumekurupuka tena sana
kulinganisha simu na mawasiliano ya tv ni vitu viwili tofauti. ni option mtu kuwa na simu lakini its mandatory kwa mtanzania kupata habari kwa njia ya tv kulingana na uwezo wake na teknolojia iliyopo hadi pale elimu stahiki na uchumi kuimarika. Mtanzania anaeishi chini ya dola moja kwa siku utamlazimisha alipe sh 10,000 kwa mwezi? hii ni technical denial ya the right to get information.
ni maeneo mengi dar watu wana vingamuzi lakini signals ni poor lakini terrestial wanapata vizuri sasa kwanini uwalazimishe vingamuzi ilihali even signals sio nzuri?
la pili inakuwaje TCRA wakubali kampuni kama DSTV,star times ,agape nk wakatae kuingiza bure local channels
lengo la sheria ni kumlinda mtumiaji sasa kama TCRA wameshindwa kama kazi yao ni nini kama sio kunywa chai ofisini na kuinjoy vioyozi hapo ofisin?
kama national regulator their slipping or they are silent that means they have to vacate their office and let private regulator take the move.
tatizo tunafanya kazi kwa mazoea bila kujali watanzania wanaumia.
wao wanaibuka tu tunazia mitambo so what? walifanya savei ya kutosha kuhusu signals?
wamehakikisha hizi kampuni zimezingatia matakwa ya watumiaji? kwanini mtu awe na vingamuzi vingi?
inachekesha kama sio kuhuzunisha.
well said
 
TCRA kama nationa regulator wako tu maofisini wamelala
kazi yao kubwa ni kumlinda mlaji lakini wao ndio wanapewa ulaji mifukoni mwao
haingii akilini TRCA kuruhusu makapmuni mengi huku kila mmoja ikikataa kurusha channel za wenzie
kila mwombaji wa lesseni anatakiwa tena kwa shuruti kurusha bure local channels bure kwa manufaa ya mtumiaji
nadhani ahwajasoma electronic communication au hawajui watendalo huko maofisini kama national regulator shame upon them.
mkiona mizengwe watu wa dar fungueni kesi mahakamani mara moja under certificate of urgency mzuie amri ya TCRA YA KUZIMA MITAMBO YA ANAOLOGIA HUKU WAKIJUA MWANANCHI ANAUMIA, mawakili mko wapi? amkeni
pelekeni fasta petition mahakaa kuu. hakuna cha notice ya siku 90 kwa vile hii ni urgent matter.
MKuu hii sio mapema
hata nchi za wenzetu ulaya bado wanatumia both analogy na digital
mitambo ya analogia haijazimwa kwani sio wote waliofikwa na cables ambao wanatumia fibres,kwa Tanzania tumekurupuka tena sana
kulinganisha simu na mawasiliano ya tv ni vitu viwili tofauti. ni option mtu kuwa na simu lakini its mandatory kwa mtanzania kupata habari kwa njia ya tv kulingana na uwezo wake na teknolojia iliyopo hadi pale elimu stahiki na uchumi kuimarika. Mtanzania anaeishi chini ya dola moja kwa siku utamlazimisha alipe sh 10,000 kwa mwezi? hii ni technical denial ya the right to get information.
ni maeneo mengi dar watu wana vingamuzi lakini signals ni poor lakini terrestial wanapata vizuri sasa kwanini uwalazimishe vingamuzi ilihali even signals sio nzuri?
la pili inakuwaje TCRA wakubali kampuni kama DSTV,star times ,agape nk wakatae kuingiza bure local channels
lengo la sheria ni kumlinda mtumiaji sasa kama TCRA wameshindwa kama kazi yao ni nini kama sio kunywa chai ofisini na kuinjoy vioyozi hapo ofisin?
kama national regulator their slipping or they are silent that means they have to vacate their office and let private regulator take the move.
tatizo tunafanya kazi kwa mazoea bila kujali watanzania wanaumia.
wao wanaibuka tu tunazia mitambo so what? walifanya savei ya kutosha kuhusu signals?
wamehakikisha hizi kampuni zimezingatia matakwa ya watumiaji? kwanini mtu awe na vingamuzi vingi?
inachekesha kama sio kuhuzunisha.
mi nadhani kuna uvivuwa kufuatilia habari na aina za channel (contents/programms).nikianzana na ndugu KIPS kwenye post yako umesahau kulist kampuni ya ZUKU TV. Mr Lokissa, dunia imeweka mwisho wa kutumia analogy ni kabla ya 2015. Kama wewe ni mtanzania unayeishi tanzania utakuwa unaelewa hulka za watanzania, kukaa na kungojea kuongezewa muda, je tusipoanza mapema tungoje 2014 december, tutaomba extension ya mudakwa nani? na pili suala la kuhamia digital tanzania, tcra imetowa leseni kwa kampuni tatu (3) tu yaani STAR MEDIA, ZUKU TV na TING. kwa hiyo katika kujadili tcra hawahusiki na upangaji wa channel kwenye kampuni tofauti na hizi mfano wa digtek,continental, dstv na easy tv. na katika kampuni zilizopewa leseni, zimeshurutishwa kutoa bure huduma ya channel nne za habari (TBC1, ITV, Channel 10 na Star Tv) pamoja na channel moja ya burudani (EATV). pamoja na kwamba hizi kampuni zimepewa lesseni ya kutoa huduma lakini pia zinahitaji kupata pesa za kujiendesha (zimeajiri, zimekodi/kujenga maofisi, zinalipa kodi, zina hudumia miundo mbinu) sasa kama itakuwa ziweke channel zooooooooooote za tanzania bure huoni itakuwani kuzitia hasara??. Mi nadhani wako sahihi kwa kutoa hizo channel 5. fikiria hao wenye hizo channel nyingine wanaingiza faida iweje wenye kampuni za decoder wasipate faida? hipikila mkoa ukitaka uwe na channel yake???? tutakuwa na channel ngapi za bure???? si decoder nzima??? kama ungefuatilia jamboleo yaTBC1 asubuhi hii ungeweza kusikiliza na kuuliza maswali mengi maana maafisa wa tcra walikuwepo pale kujibu maswali ya wananchi kuhusu digital. lakini katika maelezo niliyoyapenda zaidi ni ufafanuzi wa miundombinu ya hizi kampuni tatu na zile nyingine pamoja na leseni zao. ni kwamba kampuni tofauti na star media, zuku na ting hawakupewa ruhusa/msaada wa kujenga miundombinu nchini. wao wanatumia satellite kurusha matangazo yao kutoka huko waliko (mfano afrika kusini kwa Dstv) channel inayotakakujiunga na DSTV itatakiwa kujiwekea miundombinu yake ya kuweza kuonekana huko. lakini kampuni zetu tatu zenyewe zinatumia miundombinu ya ardhini (Terrestrial) kurusha matangazo hivyo wanashirikiana na serikali (tcra) kuweka hiyo miundo mbinu. kwa hiyo kama suala ni gharama ya kulipia UNAWEZA KUPATA HABARI BILA KULIPIA kupitia channel 5 za bure. Na mwisho nikuulize, taarifa za kuhamia digital zilianza kutangazwa mwaka 2010 watu wakapuuza kununua ving'amuzi lakini kuanzia Januari 1 2013 (jana) watu wanabanana kwenye foleni ya ving'amuzi je watuhawa wamepata fedha za king'amuzi usiku wa dec 31 2012???? tuende na mabadiliko jamani tuache kulalamika. Mbona DSTV wanawalipisha kwa Dola na mnalipa ili muone CNN, supersport hamlalamiki????
mi nadhani kuna uvivuwa kufuatilia habari na aina za channel (contents/programms).nikianzana na ndugu KIPS kwenye post yako umesahau kulist kampuni ya ZUKU TV. Mr Lokissa, dunia imeweka mwisho wa kutumia analogy ni kabla ya 2015. Kama wewe ni mtanzania unayeishi tanzania utakuwa unaelewa hulka za watanzania, kukaa na kungojea kuongezewa muda, je tusipoanza mapema tungoje 2014 december, tutaomba extension ya mudakwa nani? na pili suala la kuhamia digital tanzania, tcra imetowa leseni kwa kampuni tatu (3) tu yaani STAR MEDIA, ZUKU TV na TING. kwa hiyo katika kujadili tcra hawahusiki na upangaji wa channel kwenye kampuni tofauti na hizi mfano wa digtek,continental, dstv na easy tv. na katika kampuni zilizopewa leseni, zimeshurutishwa kutoa bure huduma ya channel nne za habari (TBC1, ITV, Channel 10 na Star Tv) pamoja na channel moja ya burudani (EATV). pamoja na kwamba hizi kampuni zimepewa lesseni ya kutoa huduma lakini pia zinahitaji kupata pesa za kujiendesha (zimeajiri, zimekodi/kujenga maofisi, zinalipa kodi, zina hudumia miundo mbinu) sasa kama itakuwa ziweke channel zooooooooooote za tanzania bure huoni itakuwani kuzitia hasara??. Mi nadhani wako sahihi kwa kutoa hizo channel 5. fikiria hao wenye hizo channel nyingine wanaingiza faida iweje wenye kampuni za decoder wasipate faida? hipikila mkoa ukitaka uwe na channel yake???? tutakuwa na channel ngapi za bure???? si decoder nzima??? kama ungefuatilia jamboleo yaTBC1 asubuhi hii ungeweza kusikiliza na kuuliza maswali mengi maana maafisa wa tcra walikuwepo pale kujibu maswali ya wananchi kuhusu digital. lakini katika maelezo niliyoyapenda zaidi ni ufafanuzi wa miundombinu ya hizi kampuni tatu na zile nyingine pamoja na leseni zao. ni kwamba kampuni tofauti na star media, zuku na ting hawakupewa ruhusa/msaada wa kujenga miundombinu nchini. wao wanatumia satellite kurusha matangazo yao kutoka huko waliko (mfano afrika kusini kwa Dstv) channel inayotakakujiunga na DSTV itatakiwa kujiwekea miundombinu yake ya kuweza kuonekana huko. lakini kampuni zetu tatu zenyewe zinatumia miundombinu ya ardhini (Terrestrial) kurusha matangazo hivyo wanashirikiana na serikali (tcra) kuweka hiyo miundo mbinu. kwa hiyo kama suala ni gharama ya kulipia UNAWEZA KUPATA HABARI BILA KULIPIA kupitia channel 5 za bure. Na mwisho nikuulize, taarifa za kuhamia digital zilianza kutangazwa mwaka 2010 watu wakapuuza kununua ving'amuzi lakini kuanzia Januari 1 2013 (jana) watu wanabanana kwenye foleni ya ving'amuzi je watuhawa wamepata fedha za king'amuzi usiku wa dec 31 2012???? tuende na mabadiliko jamani tuache kulalamika. Mbona DSTV wanawalipisha kwa Dola na mnalipa ili muone CNN, supersport hamlalamiki????
 
Back
Top Bottom