Siri za uchunguzi wa awali wa tukio la kutekwa na kujeruhiwa kwa Dkt. Stephen Ulimboka zimeanza kuvunja, lakini kwa mshangao wa wanaojua kilichotokea, uchunguzi huo unatoa majibu yenye tata.
Habari za kutoka ndani ya vyombo vinavyochunguza tukio hilo, zinasema katika hatua ya awali zimeibuka na nadharia tatu juu ya kwa nini na nani aliyemteka Dkt. Ulimboka.....
Tuseme yote lakini pia tukumbuke matukio ya vifo vya akina CHACHA WANGWE, kifo cha mtu alisemwa kuwa mfuasi wa CDM wakati uchaguzi mdogo kule Igunga. Tamko la Ulimboka kuwa mmoja wa watekaji wake alikuwa amevaa magwanda.
Hakina matukio hayo yanaweza kubadili kabisa mtazamo wa watanzania walio wengi wa nani anahusika hasa na tukio hili la utekwaji Ulimboka. Kwanini tukio lolote ambalo CDM wanatuhumiwa, wanaharakati nao wanakuwa nyuma kwa karibu sana?
Njia ya muongo ni fupi, Ulimboka alishaongopa Mwenyewe, kusema aliyemteka katoka ikulu bila kumtaja jina nin dhahiri anahisi tu na hakuna ukweli wowote na hata akija leo hana la kusema.
Tuseme yote lakini pia tukumbuke matukio ya vifo vya akina CHACHA WANGWE, kifo cha mtu alisemwa kuwa mfuasi wa CDM wakati uchaguzi mdogo kule Igunga. Tamko la Ulimboka kuwa mmoja wa watekaji wake alikuwa amevaa magwanda.
Hakina matukio hayo yanaweza kubadili kabisa mtazamo wa watanzania walio wengi wa nani anahusika hasa na tukio hili la utekwaji Ulimboka. Kwanini tukio lolote ambalo CDM wanatuhumiwa, wanaharakati nao wanakuwa nyuma kwa karibu sana?
Wizi wa nyama buchani upelelezi kumwachia fisi ni kutegemea kudanganywa...! Zumbe atogolwe.
Mbona neno "misaada toka mashirika yasiyo ya koserikali" limetokea mara nyingi kwenye habari hii, ina maana madaktari wamekuwa wakipokea misaada toka huko?