Kusema kwamba ahakikishiwe usalama yeye masaa 24. Tafsiri yake kisomi ni kwamba Watanzania wote hatuna usalama ukijumuisha na Famila yake yeye. Ni fedhea sana kutoa kauli hiyo. Huku tuna elimu bure tunakula tunafanya kila kitu cha kibinadamu .....
Samahani nauliza kuhusu biashara ya gas kwa matumizi ya nyumbani.Ni vigezo vipi vinahitajika mpaka mtu awe wakala wa usambazaji wa bidhaa hii. Mfano wa makampuni ya Orxy gas,Majimas gas nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.