Pole, sasa hivi jikite kwenye kutafuta utakatifu kwanzaStressful
One word “ hurricane”.Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.
Mungu nipe nguvu niione kweli.
What a jerk just leavePenzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.
Mungu nipe nguvu niione kweli.
Ila atakuwa amepata relief kidogo maana kaongea yoootemwamba katingwa aisee
For really.....Ila atakuwa amepata relief kidogo maana kaongea yooote
Kwani mmeunganishwa kwa super glue hadi unashindwa kumkimbia?Penzi langu ni mateso makubwa...Mwanamke niliyenaye nampenda sana ila sifuraishwi na tabia zake... Ananichuna, anipi mzigo, hajui hata kunipetipeti nikiona simu yake naogopa maana najua naliliwa shida, yeye hashei furaha na mimi ni shida tu naelezwa....Ananitesa sana nakufa kiume na kumuacha siwezi.
Mungu nipe nguvu niione kweli.
Umeambiwa neno moja eboo
Disaster
HatariKaandika gazeti
Mwenza umeamua kuwa muhubiri?Pole, sasa hivi jikite kwenye kutafuta utakatifu kwanza