Wakuu Ndege yoyote anayopanda Rais mara nyingi inapewa jina Ili iweze kutambulika na watu wa control tower mfano rais alivopanda dream liner basi pale pale ili change jina kwa muda mpaka aliposhuka ndo ikarudi jina lake halisi haya majina kuendana na Kuwapo yeye ndani ya ndege hio huongeza Heshima na Umakini wakati wa landing and taking off.
Mfano Trump akiwa kwenye ndege yoyote basi call sign name yake itaitwa Airforce one hata kama ni bombardier Q400, naomba kujua call sign name ya Rais wetu awapo ktk usafiri wa anga.