Wachache watakuelewa.
Hata mimi siamini kama kuwa na stashahada sita ndo kigezo cha juu katika kuwa na uwezo kuongoza watu. Mikataba mingi mibovu na sheria kandamizi zinatengenezwa na wenye PhD. Na tuache MUNGU aitwe MUNGU
Wadau, naangalia kipindi cha malumbano ya hoja ITV hivi sana. Mmoja wa wachokoza mada ni Dr. Avemaria Semakafu.
Dr. Avemaria anasema wabunge wanaacha kuongelea mambo ya majimbo yao badala yake wanaongelea mambo tofauti kama issue ya Lugumi.
Binafsi nimemshangaa huyu Dr. Avemaria. Hivi kama...
Sasa kosa la Maalim Seif liko wapi hapo, hadi kuitwa mhaini?
Wahaini ni hao wanaojifanya kujipendekeza wabaki kwenye siasa huku dhamira yao ikiwa tofauti
Kupeana mkono ni ishara ya mawasiliano ya ndani. Mara nyingi kupeana mikono ni ishara ya upendo au hata kuomba msamaha. Kuukataa mkono wa mtu ni ishara ya vita au kuonyesha kuwa vita iliyopo bado haijaisha.
Lakini kupeana mkono kwa kukejeli hiyo ni mbaya zaidi. The sky is the limit. RIP Kabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.