Lowassa alijiuzulu nini kwa nini kama Richmond ni ya Kikwete????? kadanganye mtoto wako huku tunataka upembuzi wa mambo sio kukurupuka na kutaja watu bila ushahidiRichmond ni ya Kikwete
Lowassa alijiuzulu nini kwa nini kama Richmond ni ya Kikwete????? kadanganye mtoto wako huku tunataka upembuzi wa mambo sio kukurupuka na kutaja watu bila ushahidiRichmond ni ya Kikwete
ukimwambia Mwakyembe ataje sifa za Mungu ataanza "Yule mbunge msanii wa Mbeya sijui anasema nini?' Ndiyo kumuogopa au kampa zarau ya kumtosha he he he ... Anaongea kwa kejeli .... kaja hapa kusema nini?Mwakyembe anamuogopa sana Sugu kuliko Mungu ! Sijui kwanini ?
Inategemea kura kampa nani inawezekama ni nchi ya kusadikika yeye ndiye wanamuelewa na kumuona anaongea kama wao. Form two kubwa huko kwao. he he heHivi alipata kura ngapi na Mwakyembe ngapi??
Sasa form II cheti hata fake atakipata wapi? Ni kilaza kinoma!wacha bana!...je hana cheti feki?
exposure ni nini ? form two ya shule ya bush huko mbeye ndiyo exposure au kwenda Dodoma? Yaani wewe lazima hujui expose unapataje au kwenye jukwaa na kuimba Ubongo wa FleverLakini exposure aliyonayo..hata huyu mwakyembe anayejifanya Mungu mtu ham fikiri hata robo including you.Ccm wote ni Mapimbi tuu
Naona hii awamu ya tano ni ya sifa na majivuno!!Mwakyembe anamshangaa nini Sugu wakati nyie wenyewe mmetaka wabunge wajue kusoma na kuandika? Kwani sugu hajui kusoma na kuandika?
By the way Mwakyembe akiwa kama msomi hapaswi kujadili watu bali mauala. Otherwise ni use.....?
Maskini...hata hujui historia ya Sugu...hujui Anna ya exposure. Pole zako.exposure ni nini ? form two ya shule ya bush huko mbeye ndiyo exposure au kwenda Dodoma? Yaani wewe lazima hujui expose unapataje au kwenye jukwaa na kuimba Ubongo wa Flever
Acha kujipendekeza hilo Feki sio mwanachama wa JFtuliza ball..sio unaandika na hasira. unaona sasa umeandika ugoro. eti unamdharau mwanasheria mahiri kama mwakyembe!
KilazaMwenzako ni mheshimiwa wewe uliyesoma unamzidi nini? Jihoji.
Wachache watakuelewa.Kwanza kabisa hakuna shule inayofundisha busara, alafu pia kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu bali ni hekima. Hivi kati ya sugu na mwakyembe nani anayewaongoza wajinga?
Ahahahaahahha haya bana tuambie na LUSINDESugu kaishia kidato cha pili tu.
you are full of ambiguity.Problem is not PHD, standard seven or whatever but the basic problem is PHD ACTIONS are not yet realized than mind-driven, personal interest-driven and slave-serving. I can only pick one action of which was revealed during NBC scandal.
Sugu asimjibu Mwakyembe mpaka apate taarifa ya daktari juu ya afya yake