I am not so sure why the Commander in Chief has not taken serious seen measures utterly citing his opinion being against such cowardly malicious actions done to our fellow brothers and sisters... But the worst part of all is the fear people have to the extent of pretending everything is okay...
Watanzania tulio wengi tunahofu ya kuacha kazi tunapokuwa nayo kwa sababu ya hofu ya maisha ya baadaye...Hujawahi kujiuliza kwanini biashara nyingi na viwanda ni vya wageni hasa Wahindi na wachina...Naungana na Kagame..matatizo yetu weusi mengi tumesababisha wenyewe..Nothing is easy
Kwa mfano umezaliwa 29th February...So kila baada ya miaka mitatu ndo unasherehekea au uta opt kujitaftia siku nyingine miaka ambayo inaishia 28 days cycle.
Nilikuwa nafanya hii business but now mtaji wangu umekata but ninazo line zote mbili ambaye yupo serious Tigopesa atanirudishia 200,000.Voda 150,000
..0714589057.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Business is all about negotiation 370,000 hailipi toa 480,000 sasa mtu anakupigia ili tujadiliane kupokea napo ndugu upokei Dah basi nimejivuta mpaka 450 nipo njiani nakuja kuchukua respond kwenye number inaishia 27
Dini ni kitu hatari Sana Kama mapokeo yatakuwa hivi.Usichoke kujifunza na kutafta ukweli,ukristo na uislam vyote ni vigeni kwetu waafrika.Usikumbatie kilichokuja kutoka kwa wenzetu ukikutana na hoja Mpya fuatilia jifunze ufanye hitimisho sahihi.
Blue sea wanamiliki jua..Saudi..The black stone wana Miliki mwezi both serve the Dragon of Rev 12:9...Benki kuu ya America ni private bank ajabu ilioje kwa nini Trump asiwe na adabu Jfk alijaribu but tuliona kilichotokea hakuna wa kuzuia Jesuits....
Positive minds tumekupata negative minds mpaka leo bado wanauliza Kati ya Kuku na yai Nani Aliwahi..Nime absorb kitu kwenye Uzi...Acha niendelee kutengeneza nondo
Cha Kumwongezea huyu kijana...Kwanza he is young and stressed hivyo unajaribu kutafuta mtu wa Ku blame...Ni sawa na mtoto amevunja glass nyumbani hajui thamani yake anajaribu Ku anticipate adhabu atakayoipata baba|mama akirudi...Alafu kumbe ilikuwa ni swala la kwenda kununua tu wazazi...
Tulio wengi tuliokulia kwenye mafundisho ya kikristo tunajua au tumewahi fundishwa kuhusu amri 10 za Mungu ambazo zina umaarufu Sana ndani na nje ya ukristo.
Shida niliyokutana nayo ukubwani kwangu ni mpishano Wa amri hizi kutoka dhehebu moja kwenda lingine ambayo ikanifanya nijiulize Kama zipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.