Mie nahisi hakuna hali ya hatari yoyote iliyotangazwa hata kimyakimya make naona ni kama biznes as usually tu. Leo ka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wazazi wa kiAfrika wengi akianza kuona unataka kuwa karibu na biashara yake/zake hata kama kujifunza tu mbinu mbalimbali, anaanza kuhisi unatafuta slope ya maisha ya kuusakaa urithi mapema, hivyo wanatukata stimu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kufahamu jina la wimbo pamoja na mwanamziki aloimba afro-zouk moja hv napata kaverse flan hv " ngayo naleliee eeeh eeh" ni mdada flan hv ss sema kwakweli nimeutafuta sn huo wimbo ni wa kitambo kidogo bila mafanikio yoyote, mwny kuufahamu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee nilifikiri ni mimi tu, yani leo nimeshinda ni mwendo wa 0.00-2.00K/s, mpaka nikaamua niwakimbie kidogo kwa leo japo nimejiunga kifurushi cha wiki.
Mie ningependa kuwashauri labda kwny bando zao wafute kabisa option za data.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu kukata simu baada ya kutumiwa sms sishangai kabisa.
Ila tu nina maswali mengi sana juu ya hao wanaompatia ushauri huyu jamaa.
Kwanini mnamfanyia kijana mwenzenu hivyo lakini???!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea pointi sana bbie, unajua haina hii ya rushwa ni jinsia moja tu ndo huwa wanai-experience ndo maana watu wanaichukulia kama kitu kidogo sana, Mie nafikiri dada zetu mna experience sn na hii kitu.
Mie kuna kipindi nikiwa chuo niliwahi kuombwa rushwa ya pesa kupata haki yangu, kwakweli...
Kabisa make inabidi na ww utumie ubongo wako vizuri kabisa kwani sio kila binadamu ni mzuri na sio kila binadamu ni mbaya, kama mtu unaemhifadhi anajielewa labda changamoto za maisha tu ndo zimemfanya atafute hifadhi huyo waeza muhifadhi.
Lakini ss kama ni type ya janja janja nyingi na ujuaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.