Mbona ipo badoNi kampuni ipi ya simu yenye vifurushi nafuu maana huku Airtel wanaua. Nataka kuhama as soon as possible.
Msaada wenu wakuu .
hivi ulikuwa unajiunga vipiMkuu nilikuwa nataka kuanzisha thread kuwaambia Airtel wanaenda kupoteza wateja wao muhimu loyal customers hasa watumiaji wa kile kifurushi cha Uni cha Siku 3 1GB@1000/-. mara nikaona hii thread.
Hawa jamaa watajutia huu uhamuzi wao.
Watu tuna miaka mingi Airtel sababu ya vifurushi vyao vya uhakika vinavyo unganisha Data na Muda wa maongezi.
Narudi kwenye line zangu za mitandao mingine, kama vipi naenda TTCL kabisa nasikia nyumbani kumenoga.
Haipo labda warudishe mchana huu.Mbona ipo bado
*149*99#, Chagua Namba 7 Uni, Kisha Namba 2.hivi ulikuwa unajiunga vipi
Haipo labda warudishe mchana huu.
*149*99#, Chagua Namba 7 Uni, Kisha Namba 2.
Hapo namba 2 ilikuwa 1000/- unapata 1GB, 100Min Airtel-Airtel, 10Min Mitandao yote, SMS 1000 kwa siku tatu.
Ilikuwa inapatika kwa wateja maalum tu watumiaji wakubwa wa data na dakika, wateja wa muda mrefu.
Sasa haipo wanakupa madakika kibao ya kuongea bila kifurushi cha net.
Basi wamerudisha, au umenunua kwa airtel money huenda bado kipo.Nimenunua bundle la UNI muda huu huu Mkuu
Nina line yao naitumia kile cha mwezi 4000 tu!*149*99#, Chagua Namba 7 Uni, Kisha Namba 2.
Hapo namba 2 ilikuwa 1000/- unapata 1GB, 100Min Airtel-Airtel, 10Min Mitandao yote, SMS 1000 kwa siku tatu.
Ilikuwa inapatika kwa wateja maalum tu watumiaji wakubwa wa data na dakika, wateja wa muda mrefu.
Sasa haipo wanakupa madakika kibao ya kuongea bila kifurushi cha net.
Kwani wewe ni mwanachuo?Ni kampuni ipi ya simu yenye vifurushi nafuu maana huku Airtel wanaua. Nataka kuhama as soon as possible.
Msaada wenu wakuu .
Labda imerudi sasa mkuu, huenda tuliojaribu kujiunga mapema kulikuwa na mabadiliko au matengenezo flani ya mfumo.Mbona bado huduma ipoView attachment 1276174
Ebu tumia hii pia. *149*81# then number 4*149*99#, Chagua Namba 7 Uni, Kisha Namba 2.
Hapo namba 2 ilikuwa 1000/- unapata 1GB, 100Min Airtel-Airtel, 10Min Mitandao yote, SMS 1000 kwa siku tatu.
Ilikuwa inapatika kwa wateja maalum tu watumiaji wakubwa wa data na dakika, wateja wa muda mrefu.
Sasa haipo wanakupa madakika kibao ya kuongea bila kifurushi cha net.
Thanks mkuu.Ebu tumia hii pia. *149*81# then number 4
Nilihisi hii kupitia Airtel money itakubali.Wengine tumeacha kutumia airtel money.Baada ya kuona hii thread nikaingia chap kuijaribu UNI ya cku 3,nimenunua kupitia airtel money na imekubali kiroho safi
*149*81# then bofya namba 4Nilihisi hii kupitia Airtel money itakubali.Wengine tumeacha kutumia airtel money.