Usimufukuze, tenda wema msaidiye kadri uwezi you, always tommorow is better than today, maisha mzunguko leo kwako kesho kwake. Katika maisha usitukane mtu, kudharau, usijione bora zaidi ya mwingine, saidia kadri uwezavyo, huyo jamaa yako anaweza kuwa God father wako uko mbeleni, maisha ya vitu vya mwonekano visikupe kiburi na dharau, kuna watu baba zao walikuwa vingunge serikalini kipindi7cha nyuma walikuwa Bata sana, leo hii wazee wao hawapo duniani maisha yao yamekuwa ya kuungaunga tu na wale waliokuwa wanawadharau ndiyo maisha wametusua sana. Hivyo kihari ulichonacho kisikupe kiburi na kunyanyapaa mwenzako,Msaidie, wema hauozi, who knows?? Only God knows.