Airtel Kwa hii spidi yenu ya internet HAPANA

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,495
5,531
Kwa kweli ninahuzunika sana

Inakuaje mnakuwa na internet slow kiasi hiki? Iwe mjini au pembezoni kote ni Jau kabisa.

Fanyeni kitu bwana nyie ni mtandao wa watu wazima mnatakiwa muwe na mambo mazuri. Mnashindwa nini sasa?

This is too much.

Hii post nimeanza kuandika sijua saa ngapi ila ndo inaenda hewani sa hivi?

Wenye Mawasiliano ya Airtel Waambieni. Kesho nitawapigie huduma kwa wateja niwaeleze dukuduku langu.
 
Ila huwezi fananisha na jipu Vodacom na Halotel, yani hawa kama halotel kwa sasa wanaishia mijini tu,nje ya miji ni maiti tayari,Vodacom nahisi wana corona.
 
Nakuunga mkono kwa asilimia 100.Mi nafikiri hiki kifurushi kikiisha muda wake,ndo natupa na line.Maana nilikuwa na kazi moja tu na mtandao wao.
 
Una tumia simu gani kwanza. tuanzie apo

Time is a drug. Too much of it kills you
Mkuu nimeweka kwenye Samsung,Iphone,Ipad na kwenye Modem na Tecno na kote bado iko slow sana.Yani unajiuliza iwapo kuna hujuma ama ni nini?Inakuwa kama vile mtandao umekufa.Hii reply hapa nimebofya nahisi itakuja mara mbili au zaidi
 
Kwakweli I agree... Nlihama Tigo baada ya kuongeza Bei ya vifurushi. Airtel kunamuda internet inakuwa slow Sana. Yaaani bundle unashindwa maliza. Ni Hasara kutumia Airtel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli mtupu hata Mimi nimeshaichoka mkuu nataka nikatupe line chooni .
Hii mitandao inatakiwa iwekeze katika data transmission ambayo naamini ina faida zaidi na pia katika uchumi wa sasa ni BIG WIN.Wataalam wanisaidi hivi gharama za VOICE na TEXT ni kubwa kuliko za kutuma DATA?
 
Asee nilifikiri ni mimi tu, yani leo nimeshinda ni mwendo wa 0.00-2.00K/s, mpaka nikaamua niwakimbie kidogo kwa leo japo nimejiunga kifurushi cha wiki.

Mie ningependa kuwashauri labda kwny bando zao wafute kabisa option za data.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli I agree... Nlihama Tigo baada ya kuongeza Bei ya vifurushi. Airtel kunamuda internet inakuwa slow Sana. Yaaani bundle unashindwa maliza. Ni Hasara kutumia Airtel

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue sio kumaliza Bando,issue ni kuweza kufanya mambo yako kwa muda.Unafungua emails hazifunguki,Unachangia JF post hazifiki, Unaenda whatsap meseji haziji,Ukiendwa Twita hivyo hivyo,Ukienda FB hivyo ukitembelea site zingine shida.

Ukitaka ku upload files kwenye Drive shida.yaani hakuna kunachoenda Mpaka Productivity inaanguka kwa sabbu ya kukosa Spidi.Wekeni Spidi ya kutosha.DATA ndo kila kitu.
 
Ila huwezi fananisha na jipu Vodacom na Halotel,yani hawa kama halotel kwa sasa wanaishia mijini tu,nje ya miji ni maiti tayari,Vodacom nahisi wana corona.
Naangalia movie hapa online kwa pc na nimeanza saa 4, sasa mpk mda huu naangalia tu em jiongeze, bando la voda!
 
Naangalia movie hapa online kwa pc na nimeanza saa 4, sasa mpk mda huu naangalia tu em jiongeze, bando la voda!
Ukiona sijalinganisha mitandao ujue sitaki kulinganisha.Leo nataka niamshe na Airtel.Kesho nawapigia simu kabisa.Wasipo chukua hatua basi Nahama Network.Tena sihami kwa kubadili line.

Naenda kufanya kale kautaratibu kama Mobile number portability ambako unahama na namba kabisa kabisa,
 
Mimi kwa jana nilidhani simu imearibika kumbe ni mtandao wao, nikachange line ikaanza kuoperate
Issue sio kumaliza Bando,issue ni kuweza kufanya mambo yako kwa muda.Unafungua emails hazifunguki,Unachangia JF post hazifiki,Unaenda whatsap meseji haziji,Ukiendwa Twita hivyo hivyo,Ukienda FB hivyo ukitembelea site zingine shida.Ukitaka ku upload files kwenye Drive shida.yaani hakuna kunachoenda Mpaka Productivity inaanguka kwa sabbu ya kukosa Spidi.Wekeni Spidi ya kutosha.DATA ndo kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia ni wezi wa vifurushi hasa data wiki iliyoisha ndo nimenunua kwa mara ya mwisho vifurushi vyao. sasa hivi line yao ipo tu kwenye simu ili kuipa sapoti line nyingine isiboreke ***** zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom