Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,531
Kwa kweli ninahuzunika sana
Inakuaje mnakuwa na internet slow kiasi hiki? Iwe mjini au pembezoni kote ni Jau kabisa.
Fanyeni kitu bwana nyie ni mtandao wa watu wazima mnatakiwa muwe na mambo mazuri. Mnashindwa nini sasa?
This is too much.
Hii post nimeanza kuandika sijua saa ngapi ila ndo inaenda hewani sa hivi?
Wenye Mawasiliano ya Airtel Waambieni. Kesho nitawapigie huduma kwa wateja niwaeleze dukuduku langu.
Inakuaje mnakuwa na internet slow kiasi hiki? Iwe mjini au pembezoni kote ni Jau kabisa.
Fanyeni kitu bwana nyie ni mtandao wa watu wazima mnatakiwa muwe na mambo mazuri. Mnashindwa nini sasa?
This is too much.
Hii post nimeanza kuandika sijua saa ngapi ila ndo inaenda hewani sa hivi?
Wenye Mawasiliano ya Airtel Waambieni. Kesho nitawapigie huduma kwa wateja niwaeleze dukuduku langu.