THE POGORIAN MACHINE
Member
- Jul 27, 2016
- 49
- 14
Hio hatari
Hapana make umeandika kama una-fake kama mshua flani hivi!!! Si unajua tena baadhi ya niggas wa JF kuji-ovarate.Ahahahah..Mkuu unataka uje unihamishe nn??!
Asee nimekugusa sana mama?!Weka miguu yako tuone,..... Ukute wewe hapo ulipo una mikasoro kibao ila Umekuja humu kumnanga mdada wa watu....
Sawasawa ninekupata.]
tuheshimian mkuu
👍Sawasawa ninekupata.
Ahahahahah..hizo habar za kufake huwa sizikubal kabisaa.Nimeandika by experience cz hizo maeneo nilizozitaja nazijua kama kiganja cha mkoni wangu na nimeishi sana enzi naanza harakat za kuweka maisha sawa.hivyo tu yan.Hapana make umeandika kama una-fake kama mshua flani hivi!!! Si unajua tena baadhi ya niggas wa JF kuji-ovarate.
mbona hana uvungu mkuu,amewezaje kukukimbia!!!!
Kama umewahi kuishi huko pamoja sana, kwani mwenzako huko uswahilini ndo bado najivinjari kwa ss!Ahahahahah..hizo habar za kufake huwa sizikubal kabisaa.Nimeandika by experience cz hizo maeneo nilizozitaja nazijua kama kiganja cha mkoni wangu na nimeishi sana enzi naanza harakat za kuweka maisha sawa.hivyo tu yan.
Hahaaah nimekupata mkuu.Wewe nae umeshamsifia vitu vingi sura,ngozi ,chuchu, chura hivyo si vinakutosha? Hawezi kuwa na siga zote utakazo, avhana na miguu pigs sound upate mke
Huwez amin wakat nahamia pande hizo nikikua nakuonaje sijui yan.ila nilikuzoea kinyamaa kiasibkwamba siku naondokanpande hizo roho ikauma sana maana fujo na vituko vya uswaz vilishanikaa ingawa nilikua nacheza nao kwa step sana bila kuwa kanyaga.Kuna raha yake kwakwel ila kama ni mtu wa mishe zako ..sio full time uko uswaz..Kama umewahi kuishi huko pamoja sana, kwani mwenzako huko uswahilini ndo bado najivinjari kwa ss!
KabisaHahaaah nimekupata mkuu.
Swali tu la kizushi, hiyo miguu kwenye avatar ni ya kwako lakini make iko gud sana?!
Mbona hii miguu imekaa kama spana
Mmekutana pipa na mfuniko
Ofcoz ulifanya jambo la msingi sana kwani ungecheza kwa fujo hawachelewi kukupiga skadi.Huwez amin wakat nahamia pande hizo nikikua nakuonaje sijui yan.ila nilikuzoea kinyamaa kiasibkwamba siku naondokanpande hizo roho ikauma sana maana fujo na vituko vya uswaz vilishanikaa ingawa nilikua nacheza nao kwa step sana bila kuwa kanyaga.Kuna raha yake kwakwel ila kama ni mtu wa mishe zako ..sio full time uko uswaz..
Mh! Kumbe.Alafu wenye miguu ya hivyo wanakuwaga watamu balaa
Duh! usinifanye nikutimbie pm bbie.Kabisa