Recent content by dachy12

  1. D

    Wanawake wa kinyalu ni wajeuri sana

    wanabadilika sana na wanatabia ya kuweka mambo kama kinyongo hivi so huwez jua ukiwa nae anawaza nini juu yako..na muda mwingi hawajielewi wanataka nini wapo wapo tu
  2. D

    Nina ADA, CPA(T) na Masters in Accounting and Finance lakini sina kazi zaidi ya mwaka sasa!

    thats good lakini pia unamatokeo.mazuri kwanini usiangalie kuwa tutorial assistant kwenye vyuo vya finance and.accounting meanwhile unatafuta.kazi zingine polepole
  3. D

    Jamani tunaomba msaada wa mawazo tafadhari....

    kwanza poleni na.tatizo..inabidi awasiliane na.ofisi.za.ubalozi wa.tanzania..waone namna gani wanaweza.msaidia procedure za kubadili passport names using new birthcertificate..as long as hata majina yaliyopo kwenye birth certificate ni tofauti na hayo ya kwenye cheti.
  4. D

    Wana Diaspora: Je mliorudi kufanya biashara au Kazi zinaendeleaje? Mmejifunza nini mpaka sasa?

    i think inategemea na kiwango cha ujuzi/elimu na uzoefu ulio nao katika maswala mbalimbali ,pia Tanzania ya sasa imenuka na rushwa and corrupted government at large so unakuta professionalism inaachwa na wana associate mafanikio na siasa ndo mana inakuwa ngumu ukirudi kupata breakthrough kwenye...
  5. D

    Best paying company in tanzania

    nadhani kupima mshahara mtu anaolipwa inabidi tuanzia kuangalia fresh graduate analipwa kiasi gani ndo unaweza elewa vizuri zaidi
  6. D

    Gharama za kutoa gari bandarini

    angalia webpage ya tra wananamna ya kuevaluate ushuru kutegemeana na manufactured year, engine volume, na price ya gari uliyonunulia
  7. D

    Hints za interview za utumishi

    Kazi yoyote unayoapply kuna mambo mbalimbali ambayo unatakiwa uyajue 1.Job des3criptions/profile ya hiyo organization unayotaka kujoin to impress them that una interest of working with them. 2. Positive attitude ya kuonyesha kwamba even if some of the things you don't have much experience on...
  8. D

    mark zuckerberg aoaa

    after being named one of the billionaires on planet..jamaa naona kahalalisha na.demu wake wa.muda.mrefuu congrats sanaa.
  9. D

    Environmental Engineer anatafuta ajira

    hujasema elimu yako ,jaribu kuweka your short resume to impress people so that they can have a keen eye on you
  10. D

    utumiaji wa blackberry internet data plan kwenye laptop

    naomba kujua how to connect blackberry phone in my case 8520 via bluetooth to my laptop so that i can use it to access internet using the same data plan for this blackberry,ninatumia data plan ya TIGO kwenye internet.manake nikiunganisha as the modem ina kata hela kwenye balance yangu ya kawaida
  11. D

    GE2010 In Statistic CUF Imeshinda ZNZ

    seif anakuwa vice kimaslah zaidi wadau
  12. D

    GE2010 OFFICIAL: Dr. Shein, Rais mpya wa Zanzibar 2010-2015

    maalimu anakuwa makamu wa rais thats y amekubali kirahisi
Back
Top Bottom