MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,038
- 854
Natumai nyote wana JF ni wazima
Kwa kauzoefu kangu kadogo kuhusu written interview za tume ya ajira
1. Watakiwa urudi tena kwenye madesa yako yaliyojaa vumbi kutegemeana na nafasi uliyoomba kwa mfano kam uliomba nafasi ya Tutorial assistant- marketing please rudi tena kwenye madesa yako ya marketing
2. angalia vizuri sana job description yako maana kuna baadhi ya vitu wanaweza kukuuliza wavitambuaje simaanaishi uende ukaikariri mfano kama uliomba nafasi ya examination officer wanaweza wakakuuliza wafahamu vipi kuhusu confidentialty and security as far as your job is concerned.
kwa wenye uzoefu zaidi kuhusu hili, funguka kwa mawazo chanya, please kama unaona huwezi please do not write rubbish this is the forum and home of great thinkers
Kwa kauzoefu kangu kadogo kuhusu written interview za tume ya ajira
1. Watakiwa urudi tena kwenye madesa yako yaliyojaa vumbi kutegemeana na nafasi uliyoomba kwa mfano kam uliomba nafasi ya Tutorial assistant- marketing please rudi tena kwenye madesa yako ya marketing
2. angalia vizuri sana job description yako maana kuna baadhi ya vitu wanaweza kukuuliza wavitambuaje simaanaishi uende ukaikariri mfano kama uliomba nafasi ya examination officer wanaweza wakakuuliza wafahamu vipi kuhusu confidentialty and security as far as your job is concerned.
kwa wenye uzoefu zaidi kuhusu hili, funguka kwa mawazo chanya, please kama unaona huwezi please do not write rubbish this is the forum and home of great thinkers