Kuna wana Diaspora wengi walirudi nyumbani miaka ya karibuni kufungua kampuni zao na wengine kufanya kazi. Je wanaendeleaje. Kama wewe ni mwana Diaspora uliyerudi tupe ukweli hapa tuelewe. Kama una rafiki au ndugu aliyerudi na unaelewa maendeleo kuanzia arudi tupe apa ili watu tuweze kujifunza. Kuna tatizo moja la Culture kwasababu wewe ni Mtanzania ni vigumu watu kuelewa kama Culture yako imebadilika kidogo ukienda Tanzania lakini baada ya kukaa sehemu miaka 10, 15 au 20 Culture yako haiwezi kuwa ileile. Je mnakabiliana vipi na hili swala.