Habari wakuu, heshima kwenu wakubwa kwa wadogo
Najua humu kuna watu wa kila aina wenye kufahamiana na watu wa kada mbalimbali mnaoweza kuwa msaada kwangu siku zijazo
Mimi ni mtanzania kutoka kanda ya ziwa mwenye miaka 27 na Medical Doctor naomba mwenye connection za kusaidia kuingia JWTZ...
Mbona hamna utabiri wowote special uliyoyasema hutarajiwa kwenye mechi yoyote, tuambie specifically ni kitu gani kitatokea ndugu mtabiri tofauti na hapo utabiri wako hauna maana
Kuna topic zingine ukizisoma unaona aibu watu wanavozalilisha uanaume,hizo ni itikadi za kishoga
Mwanaume rijali huwezi kuwaza habari za nywele za haja kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.