Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Mkuu,
Papa amezingatia uhuru wenu na imekubalika mkabarikiwa huko
 
Kuna topic zingine ukizisoma unaona aibu watu wanavozalilisha uanaume,hizo ni itikadi za kishoga
Mwanaume rijali huwezi kuwaza habari za nywele za haja kubwa
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
kuna ubaya na uzuri wake,kwanza ubaya wake ni lazima mtu mwingine ndio akunyoe maana wewe huwezi kujinyoa,hivyo ni lazima mkeo au mwanamke wako afanye hivyo,pia hiyo semu itakuwasha sana ukiinyoa,sasa kama hutawadhi vizuri basi hizo nywele zitashika kinyesi,na huenda ukakaribisha maradhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Hakuna ubaya mkuu maana zikikaa na zikawa nyingi kujisafisha uchafu unaweza nasia kwenye zile nywele.
Pia hizo nywele hutengeneza favourable conditions kwa opportunistic bacterias kama Candida albicans kukua na fungal infection kukua pia kwa sababu ya unyevu utaosababishwa na hizo nywele.
 
Back
Top Bottom