Watumishi wa Halmashauri zetu ni pasua kichwa katika kuhudumia wananchi

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
477
1,246
Hakuna kitu kinachokera kama umeenda Halmashauri kupata huduma haraka iwezekanavyo halafu ukute mtumishi anayepaswa kukuhudumia yupo anapiga stories na watu wengine ofisini zisizohusiana na huduma anayotoa inakera mnoo mpaka usubirie wamalize stories zao zaidi ya saa imeisha umesimama nje unasubiri huduma

Au watumishi wanaenda kunywa chai zaidi ya saa 2 inakera sana au njoo kesho sasa hivi tuna kikao au kuna sehemu tunaenda kuangalia miradi na huku umetumia gharama kubwa za usafiri na jiografia zetu zilivyo inakera sana

Au mpaka mtumishi fulani mkuu wa idara fulani ndo awepo upate huduma kama hayupo njoo kesho

Kuna watumishi wengine ni kuzunguka zunguka ofisini anaingia humu anatoka anaingia kule hatulii ofisini ahudumie wateja inakera sana

Wizara ya TAMISEMI iangalie hili ni kero kwa wananchi waendapo kupata huduma kwenye Halmashauri zetu, wamekaa kimtego wa kutoa rushwa ili uhudumiwe haraka

Mkurugenzi mtendaji akiwepo ndo wanajitahidi kutoa huduma, akisafiri watumishi wapo na mambo yao na utaomba pooh, danadana zitakuwa za kutosha

Mh Mchengerwa na TAMISEMI ondoa usumbufu kwenye Halmashauri zetu
 
Hakuna kitu kinachokera kama umeenda Halmashauri kupata huduma haraka iwezekanavyo halafu ukute mtumishi anayepaswa kukuhudumia yupo anapiga stories na watu wengine ofisini zisizohusiana na huduma anayotoa inakera mnoo mpaka usubirie wamalize stories zao zaidi ya saa imeisha umesimama nje unasubiri huduma

Au watumishi wanaenda kunywa chai zaidi ya saa 2 inakera sana au njoo kesho sasa hivi tuna kikao au kuna sehemu tunaenda kuangalia miradi na huku umetumia gharama kubwa za usafiri na jiografia zetu zilivyo inakera sana

Au mpaka mtumishi fulani mkuu wa idara fulani ndo awepo upate huduma kama hayupo njoo kesho

Kuna watumishi wengine ni kuzunguka zunguka ofisini anaingia humu anatoka anaingia kule hatulii ofisini ahudumie wateja inakera sana

Wizara ya TAMISEMI iangalie hili ni kero kwa wananchi waendapo kupata huduma kwenye Halmashauri zetu, wamekaa kimtego wa kutoa rushwa ili uhudumiwe haraka

Mkurugenzi mtendaji akiwepo ndo wanajitahidi kutoa huduma, akisafiri watumishi wapo na mambo yao na utaomba pooh, danadana zitakuwa za kutosha

Mh Mchengerwa na TAMISEMI ondoa usumbufu kwenye Halmashauri zetu
Sana utadhani kazi hawataki!
 
Hakuna kitu kinachokera kama umeenda Halmashauri kupata huduma haraka iwezekanavyo halafu ukute mtumishi anayepaswa kukuhudumia yupo anapiga stories na watu wengine ofisini zisizohusiana na huduma anayotoa inakera mnoo mpaka usubirie wamalize stories zao zaidi ya saa imeisha umesimama nje unasubiri huduma
Unajuaje huyo anayetaka kukuhudumia ndio anayepiga stori??

Maana Kuna watu mkiona tu yoyote hata dereva mnafikiri anaweza kukusaidia kumbe shida yako unahusu mambo ya leseni🤣
Au watumishi wanaenda kunywa chai zaidi ya saa 2 inakera sana au njoo kesho sasa hivi tuna kikao au kuna sehemu tunaenda kuangalia miradi na huku umetumia gharama kubwa za usafiri na jiografia zetu zilivyo inakera sana🇹🇿
Kwanini hiyo Halmashauri isitoe chai ili watu wasitoke.

Yaani wewe unaangalia shida zako tu, za wenzako huna muda.

Mtu akae njaa Kwasababu anatakiwa kubaki kumaliza shida zako siyo???
Au mpaka mtumishi fulani mkuu wa idara fulani ndo awepo upate huduma kama hayupo njoo kesho
Sasa Hilo mbina ni tatizo la huyo mkuu wa idara.
Kuna watumishi wengine ni kuzunguka zunguka ofisini anaingia humu anatoka anaingia kule hatulii ofisini ahudumie wateja inakera sana
Sasa mtu wa masjala anatembeza barua hutaki unataka barua na madokezo ya watu yarushwe yapepee.
Wizara ya TAMISEMI iangalie hili ni kero kwa wananchi waendapo kupata huduma kwenye Halmashauri zetu, wamekaa kimtego wa kutoa rushwa ili uhudumiwe haraka
Tamisemi wenyewe wanajua huko Halmashauri watumishi wanafanya kazi kwa kujitolea tu. Kujitolea kusizidi UWEZO.
Mkurugenzi mtendaji akiwepo ndo wanajitahidi kutoa huduma, akisafiri watumishi wapo na mambo yao na utaomba pooh, danadana zitakuwa za kutosha

Mh Mchengerwa na TAMISEMI ondoa usumbufu kwenye Halmashauri zetu
 

Attachments

  • Screenshot_20230525-202430.png
    Screenshot_20230525-202430.png
    114.5 KB · Views: 4
Unajuaje huyo anayetaka kukuhudumia ndio anayepiga stori??

Maana Kuna watu mkiona tu yoyote hata dereva mnafikiri anaweza kukusaidia kumbe shida yako unahusu mambo ya leseni

Kwanini hiyo Halmashauri isitoe chai ili watu wasitoke.

Yaani wewe unaangalia shida zako tu, za wenzako huna muda.

Mtu akae njaa Kwasababu anatakiwa kubaki kumaliza shida zako siyo???

Sasa Hilo mbina ni tatizo la huyo mkuu wa idara.

Sasa mtu wa masjala anatembeza barua hutaki unataka barua na madokezo ya watu yarushwe yapepee.

Tamisemi wenyewe wanajua huko Halmashauri watumishi wanafanya kazi kwa kujitolea tu. Kujitolea kusizidi UWEZO.
Mkuu yawezekana na wew ni mtumishi wa Halmashauri
 
Hivo ndo vitu vinatokea kwenye manispaa ya ilemela mwanza ni mwezi umepita sasa namba ya nida sipati naambiwa mtandao.
wabongo tunacheleweshana sana
 
Urambo ndo komesha kuna vigagula wako masjala ya elimu Msingi ni wasenge sijapata kuona,,kuna kamama kamoja karefu flani hivi kanasuka rasta kapo mlango wa pili au wa tatu kutoka Ofisi ya vizazi na vifo,, kanasuka rasta za kamaskini lkn nyodo zake ni za karne,,,kuna siku nilisamama mlangoni kwake saa 1 na uchafu huku kenyewe kanaongea na simu na watu wa nyumbn kwao ila ipo siku yake,,,,,,Ila ofisi ya vizazi na vifo chini ya braza Ally iko fresh sana.
 
Back
Top Bottom