Habari wana Jf,
Mimi ni kijana mwenye umri wa takribani miaka 30 nahitaji mwanamke ambaye anayehitaji kuwa mke kwa dhati awe serious kwa kweli.
Awe muislamu asizidi miaka 35,huduma zote kama mke atapata!masharti na vigezo kuzingatia!nasisitiza awe serious most of them mnakuja ku-ejoy watu,awe...
Kwanza kafanye geological survey!hii bei inategemea na eneo lililopo!ili upate kujua unachimba mita ngapi kupata maji!!na bei ya kuchimba haipo constant,unaweza kuambiwa kwa mita ni kias flani pamoja na PVC na gravel!
Kingine cha Tahadhari,si kila ukichimba maji lazima uyapate!!unaweza ukaambiwa...
Naomba nikiri kwamba mi ni kijana wa miaka 29,sijaoa nahitaji mwanamke mwenye kuhitaji kuolewa,kama atakuwa muislamu itafaa zaid,sichagui kabila,umri niutakao asizid miaka 35,huduma zote za msing atapata kadri uwezo wang utakapukua unaweza!Elimu angalau iwe ya kidato cha nne!Karibun!
Sent using...
Kwanza kabisa mkuu kuna sheria ya rasilimali za maji namba 11 ya mwaka 2009,ambayo inamuhitaji mtu yoyote anayechukua maji kutoka kwenye kisima,bwawa,mto kuwa na kibali kutoka ofisi za bonde husika.hivyo cha kwanza unatakiwa upate kibali cha kisima hapo kuna tararibu zake utapewa ikiwa upime...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.