Naona kama kwenye misiba ya watu wakubwa na matajiri, kuna kaubaguzi flani

Cute Cindy

JF-Expert Member
Apr 9, 2019
211
591
Mara nyingi Utakuta ww MTU wa kawaida hauruhusiwi kuingia ndani ya nyumba yenye msiba, OK fine unaweza sema wanaogopa kuibiwa, lkn hata nje ya nyumba, viongozi wa serikali, familia iliofiwa, na matajiri wana sehemu yao ya kukaa, yani wanajitenga na watu wasio na cheo wala utajiri sasa najiuliza kubaguana hadi msibani, hata buffee LA viongoz ni tofaut na watu wasio na cheo..

Binadamu wote tunanuka tu, kubaguana si ishu...
 
Kwani unapungukiwa nini ndugu yangu??? Hata misiba tu ya kawaida ndugu jamaa marafiki wa karibu sana hupewa kipaumbele zaidi ya wengine.....
 
Mara nyingi Utakuta ww MTU wa kawaida hauruhusiwi kuingia ndani ya nyumba yenye msiba, OK fine unaweza sema wanaogopa kuibiwa, lkn hata nje ya nyumba, viongozi wa serikali, familia iliofiwa, na matajiri wana sehemu yao ya kukaa, yani wanajitenga na watu wasio na cheo wala utajiri sasa najiuliza kubaguana hadi msibani, hata buffee LA viongoz ni tofaut na watu wasio na cheo..

Binadamu wote tunanuka tu, kubaguana si ishu...
Tena kama hauna connection hata wali mkavu hupatii,utaishia kuambiwa chakula kimeisha
 
Sio ubaguzi ni kuweka utaratibu. We mtu si ndugu yako eti kwa sababu ni maarufu unatoka mtaa wa sita unaenda msibani kufanya nini badala u nde kibaruani? Usipoweka utaratibu utakuta kibaka amekaa na tajiri anafanya timing ya kukwapua, watu hawapiki nyumbani kwao wanakula msibani na baada ya kula wanasepa. Utaratibu tusiubatize ubaguzi.
 
Tena kama hauna connection hata wali mkavu hupatii,utaishia kuambiwa chakula kimeisha
mr_misifa1-20190728-0001.jpg
 
Unaweza ukaambiwa ukakate Kuni za kupikia kwa sababu ya ufukara.... Halafu wadau wako zao huko wakishauriana
Hiyo ndio gharama ya ulofa unayotakiwa kulipia sababu pesa za mchango huna hata ukitoa hazitoshi chochote ndio maana wanaona uchangie nguvu zako kwa kukata kuni
 
Mara nyingi Utakuta ww MTU wa kawaida hauruhusiwi kuingia ndani ya nyumba yenye msiba, OK fine unaweza sema wanaogopa kuibiwa, lkn hata nje ya nyumba, viongozi wa serikali, familia iliofiwa, na matajiri wana sehemu yao ya kukaa, yani wanajitenga na watu wasio na cheo wala utajiri sasa najiuliza kubaguana hadi msibani, hata buffee LA viongoz ni tofaut na watu wasio na cheo..

Binadamu wote tunanuka tu, kubaguana si ishu...
Tafuta heshima na wewe ukaenao meza moja dada angu.

note: heshima hijagi bila sababu.
 
Mara nyingi Utakuta ww MTU wa kawaida hauruhusiwi kuingia ndani ya nyumba yenye msiba, OK fine unaweza sema wanaogopa kuibiwa, lkn hata nje ya nyumba, viongozi wa serikali, familia iliofiwa, na matajiri wana sehemu yao ya kukaa, yani wanajitenga na watu wasio na cheo wala utajiri sasa najiuliza kubaguana hadi msibani, hata buffee LA viongoz ni tofaut na watu wasio na cheo..

Binadamu wote tunanuka tu, kubaguana si ishu...
Umenikumbusha mbali sana daaah. Anyway mambo ni mengi...
 
Tena kama hauna connection hata wali mkavu hupatii,utaishia kuambiwa chakula kimeisha
Kuna watu Wazoefu wa kula misibani .Pilau likiletwa kwenye sinia mtu unakuta hataki vijiko anatumia kiganja Cha mkono sinia hata ujaze vipi.watu wakikaaa kula ukizubaa mtu anapiga tonge Mbili tu na kiganja sinia unajikuta limebaki chakula robo.Ukijifanya msitarabu unakula na kutafuna utaondoka na njaa wenzio wakichota tonge wanalimeza bila kutafuna kwa spidi ya mwewe.Halafu baadaye sinia likiwa jeupe anaomba maji ya kunywa kushusha chakula vizuri alichomeza kwenye tumbo.Huu ulaji wa kisasa wa kila mtu kupewa sahani Yake badala ya sinia Wala misibani Wazoefu hawaupendi kabisa huo utaratibu.
 
Back
Top Bottom