Eti kwa vile hawana misele mingi kama mababaNashangaaga sana watu wanaotumia kigezo cha mwanamke kuuza gar! Kwani wao wanabara bara zao? Au gar zao ni maalumu? Wanawake ndo wako rafu sana na sio watunzaji!
Nashangaaga sana watu wanaotumia kigezo cha mwanamke kuuza gar! Kwani wao wanabara bara zao? Au gar zao ni maalumu? Wanawake ndo wako rafu sana na sio watunzaji!
Samahani kama sikuelewaHabari wakuu,
Natafuta gari yakununua bajeti yangu sh ml. 5 mwenye kuuza gari yake anicheki pm, alteza, brevis zitapendeza zaidi, Namba Kati ya C,D itapendeza zaidi.
Asanten.
View attachment 1657659
Sawa mkuu ngoja tukutaftieLawatu