Wanaita vijana mithili ya tembo ila placement sisimizi, hawa jamaa wamekuwa wachumia matumbo tu wanajiwazia hao tu kulipana maposho unakuta ajira hizo hizo mwajiri huyohuyo wanafanyisha watu interview mara mbilimbili bila placement ata moja sasa unajiuliza unakosa majibu.
Na aibu hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.