Toeni Hela zenu kwenye Mabenki na mpesa hifadhini hela zenu wenyewe, anguko la uchumi limeingia

Toeni Hela zenu kwenye Mabenki na mpesa hifadhini hela zenu wenyewe, anguko la uchumi limeingia

Nchi inapata fedha kwa njia kuu 2.

1. Kodi
2. Mikopo

Kama hukopesheki inabidi upandishe kodi maradufu.

Wapi ambapo serikali itaweza kukusanya kodi kirahisi?

Nikiputinjia zote wanaoweza kuzitrack kama benki, maana yake ni kuwa wakati wa utekelezaji Zaji wa bajeti wataweza kuchukua pesa zilizopo bank na kwenye simu kirahisi kuliko sehemu yoyote
Kodi,mikopo na misaada ya wahisani
 
Yani ukiskiza mambo ya mitandaoni.
Ukaangalia na BBC Unaweza dhani tuko Sudan😅😅😅kumbe wala maisha mitaani yanaendelea wengine tunazurula mpaka saizi kusaka ridhiki na hamna kilichobasilika...
aah aisee.. ogopa sana mtandao
 
Yani ukiskiza mambo ya mitandaoni.
Ukaangalia na BBC Unaweza dhani tuko Sudan😅😅😅kumbe wala maisha mitaani yanaendelea wengine tunazurula mpaka saizi kusaka ridhiki na hamna kilichobasilika...
aah aisee.. ogopa sana mtandao
Chawa
 
Haina mantiki kutoa fedha ukahifadhi ndani then uibiwe ,sijaona logic labda tuhifadhi kwa ajili ya D9 tukipigwa curfew tuwe na akiba ndani ya kuagiza boda akukuletee mazagazaga na kwa ajili wakizima internet ATMs hazifanyi kazi(labda kwa hapo)
Nasubiria kusikia mnakaza matako... endeleeni mkianza kutoa milio msije mkatolea humu
 
Kama una vihela benki katoe zote, kama una hela M-Pesa toa zote kuwa na hela yako cash soon anguko linakuja, msije sema hamkujua

Taarifa ndio hiyo kuwa na hela yako cash utachimbia ndani au kuzificha kwenye madumu fanya hivyo anguko la kiuchumi limeingia ndani ya nchi yetu
Damn
 
Anguko la uchumi na kutoa hela bank kuna mahusiano gani? Economics 101
 
Back
Top Bottom