Hebu fikiria mwanamke alikuwa wanafunzi wa kwanza kufundishwa na shetani na kufuzu kumdanganya mwanaume. Alifaulu kwa 100% na mwanaume alikuwa mhanga wa kwanza.
Hayo yaliyofanyika akaachiwa bado kuna mtu anadhani anafaa kuongoza?
Unajua utaratibu wa kuajiri au kuteua mtu aliwahi fungwa? Jielimishe ndugu.
Hata yeye baada ya kunusurika basi atakuwa mjinga sana kurudi kwenye serikali.
Ila nadhani ccm anawafaa sana sana sana.
Kama kuna zao lenye "ZERO" marketing strategy ni zao la kahawa. Huwezi hata kujua upo kwenye nchi au mkoa unaolima kahawa. Unywaji uko chini sana na bei ziko juu.
Hakuna msukumo wa kuitambulisha na kuongeza unwaji wa Kahawa hata kwenye maeneo ya utalii.
1. Hebu angalia miji yetu, kama hunywi...
Kama mke sio mkurugenzi wa kampuni hana chake kwenye kampuni. Hakuna mirathi. Hajafa mtu. Sehemu ya mali waliochuma pamoja ndio. Jielimishe sheria. Usikurupuke
Nimesoma hoja zako za kishuleshule na kimtaani.
Ninachokiona hapo ni kuwa huna uelewa wa kutosha kuhusu malezi ya mtoto na aina ya michango ambayo kila mzazi anatakiwa ampe mtoto wake.
Ni baba wa kwanza kumsikia anayejidai kutaka kutega kwenye kuihudumia familia yake !!
Sasa kama chakula...
Ukiniuliza mimi nitakuambia ni sawa hizo ziara ila wahusika hawafanyi maandalizi stahiki.
1. Nilitegemea kabla ya ziara chama na mbunge vingewaalika wote wenye kero zao wafike ofisi ya diwani au mbunge au ya chama wilaya na malalamiko yake na vielelezo yake.
2. Chama au mbunge kingechambua...
Kuhani wa ibilisi. Hakuna mvutano bali fikra zako alizokushawishi ibilisi nawe ukakubaliana nazo.
Hazina mashiko. Ni uchaguzi wako. Huwezi kubaki na 1 endelelea. Mungu anakusubiri huko mbele. AU BADILI DINI KAJICHANE. NA HUKO WANAISHIA 4, AU UWE MGANGA UOE UTAKAVYO.
Weka cheti tuone ulipata ngapi?
Kuna watu wamefaulu kwa maksi za juhudi ya shule na sio akili zao per see. Ukiongea nae huoni hiyo A au B yake !!!
Fikiria tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.