Mpk sasa kina barabara ya lami moja, ni destination pendwa ya watalii, ndo chanzo haswaa cha dagaa wa nyama, ambapo wacongo wamewekeza sana kwenye hii biashara kwa kuwatumia wazawa km wakusanyaji tu, kwasasa Crdb Bank imefungua tawi lake kuunganisha hii value chain ukizingatia na Congo pia Crdb...
Kuna kitu hujaeleza. Ila unapaswa ukaonane na manager, umueleze hal yako kibiashara, kiwango unachomudu kwa sasa kulipa ili waweze kukurekebishia mkopo wako uendane na hali halisi.
NB. Kama bank inafata taratibu zote za kukupa mrejesho wa mdololo wa marejesho yako, hata mahakaman watashinda na...
Ile show ya jamafest diamond aliitwa kumsalimua Makamu wa raisi. Ule umati wote ulikua unakuja mbio kumsindikiza Nasseb, wale wazee wa gwanda za mabaka walipiga chujio la dk 3 alipita Naseb na tale. Hakuna cha baunsa wala camera man.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.