YametimiaHuku kuingia katika Mizozo mara kwa mara ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na Watendaji wake Waandamizi hapo Mkoani Arusha kutarahisisha Kazi ya Msemaji wa Ikulu Msigwa ya kupewa Tangazo la Utenguliwaji na Uteuzi wa Mtu muda si mrefu. Nimwombe tu Mkuu wa Mkoa wa Arusha awe makini mno tena Kipindi hiki kwani Kuviziwa Kwake Kuondolewa hapo kunakochochewa na Maadui zake ndani ya Mkoa na Chama hakujaanza leo.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app