Mkuu ikumbukwe kuwa SSH ni mjumbe wa KK ya CCM hata kabla hajawa makamu wa Rais. Kwa hiyo tofauti na kofia ya umakamu aliyoipata pia alikuwa na sifa ya kuingia kwenye KK.
Ukisoma Mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;... ukiendelea hadi aya ya 29 utaona Mungu aliumba mtu kwa mfano wake siku ya sita na akamuambia akazaliane (ambaye sio Adam) Na ukizingatia zaidi aliumba mwanaume na mwanamke.
Baada ya hapo ukisoma kuanzia Mwanzo 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.