Recent content by Clemento

  1. Clemento

    Deni la Taifa sasa lafikia 39 trillioni

    Hatari Mkuu
  2. Clemento

    Natafuta mume

    Kila la kheri.
  3. Clemento

    Najisikia kukiri hapa jamvini, naruhusiwa?

    Fanya hiyo confession
  4. Clemento

    Kwa majibu haya ya daktari nina hofu na afya yangu

    Ni kweli, Mara nyingine huwa hicho kipimo kinachukua Massachusetts 24.
  5. Clemento

    Nafasi 2000 za kazi, Viettel Tanzania

    Mi pia nahisi wapo serious, nimeona hadi office Zao.sema sijajua ile form ya application tunajaza inline au la.kwa anayejua basi tueleweshane.
  6. Clemento

    Amerudi sijui nimfanyeje

    Coz hatujui sababu aliyoondokea so mpokeee
  7. Clemento

    Napata mashaka kumuoa huyu mwanamke

    Ndugu yangu,mi sijaoa Ila nakushauri,vumilia mpaka ayapojifungua,hizo tabia zake zikiendelezwa ndani ya Kama miezi 6 hivi au 3,achana naye, mahari siyo Ishu ukilinganisha na life unaloliendea.Zaidi sana mshirikishe Mwenyezi Mungu.
  8. Clemento

    Nitaiweka wapi sura yangu

    Haya mambo magumu kweli yani
  9. Clemento

    Toba! Eti wamefukuzwa kazi, Huu ndio uonevu na ubabaishaji wa viongozi wetu.

    Ni uamuzi mzuri sana kwa viongozi wawajibikaji.
  10. Clemento

    Madaraka Nyerere: Serikali iondoe picha ya Mwl. Nyerere kwenye noti ya sh. 1,000

    Watoke Zao,tumewapendelea Bado wanaleta Zao hapa,sasa tutaitoa kabisa hiyo picha isionekane,na hatutaweka kumbukumbu ya baba yao tena.
  11. Clemento

    jaman! kumbe upweke mbaya hivi! loh!

    Hata mi mpweke,njoo basi
  12. Clemento

    Ukiwa chuo, tegemea yafuatayo

    Fata ushauri wa wakubwa!kaiashi alone.
Back
Top Bottom