sikushauri sana maana kukaa na classmate wako haina maana kuwa mtaendana nae kitabia..kama unaweza n bora ukatafute room uanze maisha alone..
Hahaaa mi nna bahati mbaya miaka yote walinipanga na room mates wabishi kama mimi so vyumba vyote nlivyokaa ilikuwa ni full makelele
Mi ndo nataka manigga wabish wa dizain hyo sio unapangiwa na litoto la mamaaaa, au mlokoleeee, au ustaziiiii NO THANK U bora npange gheto kitaa 2
Mi ndo nataka manigga wabish wa dizain hyo sio unapangiwa na litoto la mamaaaa, au mlokoleeee, au ustaziiiii NO THANK U bora npange gheto kitaa 2
Kwani walokole sio wabishi?
Hahaha kwani ni kwa vyuo vyote errrooh!! Unapangiwa roommate
room mate hamwendan
ha ha ha h haaaaaa
hhahahaaaPia demu ata uwe mgumu aje namba lazma utatoa tu kwenye group discussion. Dem kuja ku discuss na kulala kwako ni kitu ya kawaida. Mwenzako anakula mzigo chini wewe umelala juu na ni mchana imefungwa kanga. Kuish na dem rum wiki nzima haend rum kwake nikubadili nguo ns kurud. Kupigiwa cm na demu mda wa menu tu ili umtoe lunch. Dem kuomba umsindikize mjini ili akuchune vizur. Lyfe la chuo ni shidaaaa