Asante sana, kweli ni Hali ngumu sana ukiangalia Aibu aliyiisababisha kwangu na Kwa familia yangu nimekuwa gumzo mdomoni Kwa watu wengine walithubutu kunidhihaki Kwa namna walivyoweza kiukweli nina wakati mguu kwani nikimuacha aende nitaumia sana Kwa vyote nilivyotenda kwake eti anaishi Kwa mwanaume mwingine nitaumia sana na nikikubali arejee Kama awali nitadhataulika sana. Napata wakati mgumu sana jamani sijui nifanyeje mimi
I know dear pole sana ndugu, inauma. Dear Ila kwa sasa shut down thinking about other people or what you have done for her . Follow you heart and not others the way are thinking . Ukifikiria kuhusu sisi binadamu au kwa Yale mema uliyomfanyia hautaweza kumake a right decision , naomba umshirikishe Mungu and moyo wako tuu. Sometime in life things happened for the good reason. God always removed people from your life in orders to experience His blessings l, favors and even to take you a higher level. My dear you really need to use a wisdom in this matter and not people or the seeds you planted in her life. Hebu naomba uongee.na Mungu kwanza kabla hujafanya chochote mdear. Jiweke karibu naye ,.na yeye hatakuacha kwa hili , pole sana. Funga na.maombi itakusaidia. Kumbuka the bigger of the problem you have the more testimonies you will have . Forget about human being , focus juu kwa mungu naye atasema na wewe. Asante.