TEKNOLOJIA TATU MUHIMU ZINAZOWEZA KUTUSAIDIA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO NA KUTULETEA MAENDELEO.
TEKNOLOJIA NI NINI?
Neno Teknolojia au kwa kiingereza technology ni neno ambalo limetokana na lugha ya kigiriki “technología“ lenye maana ya maarifa ya ujuzi, sanaa na ufundi yaliyowekwa katika...
NJIA MBADALA ZINAZOWEZA KUSAIDIA TATIZO LA UPUNGUFU WA WALIMU MASHULENI.
UTANGULIZI:
Nchi yetu bado inachangamoto kubwa ya uhaba wa walimu wa shule ya sekondari na msingi.Kwa mujibu wa taarifa ya mwezi wa pili ya wizara ya nchi ,Ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa...
SERIKALI ITEKETEZE KICHAKA HIKI CHA RUSHWA BARABARANI
UTANGULIZI.
Maana ya rushwa; Rushwa maana yake ni matumizi mabaya ya mamlaka au nafasi fulani iliyo rasmi kwa lengo lakujipatia faida binafsi kinyume na sheria na kanuni ya maadili ya nchi.Pia tunaweza kusema rushwa ni fedha au...
Na hisi hapa pamekuchanganya kidogo: Uwajibikaji wa Maafisa Tarafa katika Wilaya na Halmashauri za Serikali za Mitaa wa tarehe 18 Desemba, 2003 pamoja na Sheria iliyofanyia marekebisho Sheria za Serikali za Mitaa namba 13 ya mwaka 2006 Majukumu ya Afisa Tarafa : hapa hatuzungumzii structure...
Hilo linafahamika mkuu Hoja sio muundo.kikubwa hapa tunaangalia tija yakuwa na mtu kama huyo ni nini? Structure zote zimeundwa kwa ajili yakuleta ufanisi na tija na wala sio muundo tu ili mradi na sisi tuseme tuna muundo kama mataifa mengine.Pamoja na hilo muundo pia unaweza kubadilishwa...
UBOVU WA MAWASILIANO KATIKA TAASISI ZETU ZA UMMA
Katika karne hii ya sayansi na teknolojia inasikitisha sana kuona taasisi zetu zikiwa hazifanyi sana vizuri katika utoaji huduma kwa haraka na ubora unaotakiwa hasa katika mawasiliano.
Ipo dhana kwa wananchi kwamba mambo yako...
Cheo cha Katibu Tarafa kifutwe
Kama tunavyofahamu kwa mujibu wa Mwongozo wa Uwajibikaji wa Maafisa Tarafa katika Wilaya na Halmashauri za Serikali za Mitaa wa tarehe 18 Desemba, 2003 pamoja na Sheria iliyofanyia marekebisho Sheria za Serikali za Mitaa namba 13 ya mwaka 2006 Majukumu ya...
ELIMU TAKA ISIYOPEWA UMUHIMU
(picha kutoka google photo)
UTANGULIZI
Taka taka kwa mujibu wa wikipedia huru ni Taka au taka taka (kwa Kiingereza: waste, trash, garbage, rubbish, junk) ni mabaki ya vitu, ni yale yanayobaki baada ya kuzalisha vitu, pamoja na yale yaliyotumiwa tayari na ambayo...
MAANA YA MBWA KIBIBLIA.
Katika maandiko matakatifu neno Mbwa limetumika likiwa na maana mbalimbali, kama Mbwa mmnyama(marko 7;28) na Mbwa binadamu (ufunuo 22:15) na kadhalika. Neno la mungu linatuambia tujihadhari na mbwa! Wafilipi 3:2 . Je Mbwa ni watu gani kwa mujibu wa maandiko...
kama ulivyojitoa na kugharamika kwa mganga Yesu anataka ujitoe zaidi hapo kwa kumkabidhi maisha yako yote na mali zako.Kwa Yesu mnataka kirahisi rahisi bila kujikana.Yesu anakuuliza hutarudia tena huo ujinga?au unataka uponyaji alafu urudi kwenye upagani wako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.