SoC02 Tutoe elimu ya kupinga mbwa kabla hawajawa wengi

Stories of Change - 2022 Competition

cilla

JF-Expert Member
Jul 15, 2011
369
296
MAANA YA MBWA KIBIBLIA.

Katika maandiko matakatifu neno Mbwa limetumika likiwa na maana mbalimbali, kama Mbwa mmnyama(marko 7;28) na Mbwa binadamu (ufunuo 22:15) na kadhalika. Neno la mungu linatuambia tujihadhari na mbwa! Wafilipi 3:2 . Je Mbwa ni watu gani kwa mujibu wa maandiko?​

MAANA YA MBWA KWA MUJIBU WA BIBLIA
Mbwa ni watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, mahanithi, walawiti na wafiraji. Kumbukumbu 23:17-18 wala pasiwe na hanithi katika wana wa Israeli wanaume.Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya Bwana, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yo yote; kwani haya ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako, yote mawili.

Katika biblia ufiraji au mapenzi ya jinsia moja ni kati ya dhambi zinazotajwa kama dhambi za kubadili matumizi ya asili Warumi 1:26-27 Yuda 1:7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.

Nyakati kama hizi tulizonazo ni nyakati ambazotumetaadharishwa na unabii wa maandiko kwamba ni siku zitakazo kuwa na Mbwa wengi zitakazofanana na siku za sodoma ambazo watu walipenda kulawiti na kulawitiwa, wakubwa kwa wadogo Luka 17:26-30.Siku za sodoma “mbwa” walitaka kuwalawiti hata malaika Mwanzo 19:1-29.

Wafiraji, Walawiti, mahanithi na watu wa mapenzi ya njia moja (Mbwa) biblia sehemu nyingine inawaita Wachafu(kiyunani akáthartos).

Neno hili la kiyunani akáthartos linajumuisha ushoga, ulawiti(mwanaume kwa mwanaume), ufiraji(mwanamme kwa mwanamke), mwanaume na mnyama. Na mahali palipo tajwa uasherati na uzinzi neno uchafu lilifuata likiwakilisha ufiraji na ulawiti Waefeso 5:5. Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu pia unaweza kuona neno hilo katika wagalatia 5:19, 2 Wakorintho 12:21, Waefeso 5:3

Neno la Mungu linatuambia watu hawa wachafu(akáthartos) hawaurithi ufalme wa Mungu.Wakorinto wa kwanza 6: 9-10 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

Sasa hivi duniani Mbwa wanazidi kuwa wengi, watu wanaanza kuona kama ni jambo la kawaida.maneno haya makali kama ufiraji na ulawiti yanaonekana kama ni maneno makali yanapotumika na sasa yametengenezwa maneno laini kama mapenzi ya jinsia moja au kujamiina kinyume na maumbile wengine kwa sababu ya hadhi ya taasisi zao wanatumia neno kunyanyaswa kijinsia.Biblia hayaonei aibu mambo haya na ndio maana inayataja wazi wazi bila kupunguza makali.Biblia inatumia maneno mbalimbali mabaya kuonyesha ni namna gani jambo la ulawiti na ufiraji ni chukizo mbele za Mungu.​

CHANZO CHA ROHO ZA UCHAFU (MBWA)
Nyakati hizi zimetabiriwa kuwa nyakati ambazo watu watapenda mambo machafu na ya taonekana ni ya kawaida na yale masafi yatachukiwa. Nyuma ya mambo haya machafu(ushoga,ulawiti na ufiraji) zipo roho ambazo zinaitwa roho chafu na roho zakupindua mambo .Ufunuo 16:13-14 .Roho hizi chafu zinafanya kazi sana nyakati hizi tulizonazo ndio maana dunia ya leo kuna wimbi kubwa la ulawiti na wafiraji na wafirwaji ambalo linaongezeka kwa kasi sana katika maeneo mbalimbali.

Roho hizi chafu pia zinaitwa roho za shetani za kupindua mambo.katika hali ya kawaida hizi roho hazianzi kwa ghafla, zinaanza kidogo sana ili tusishituke.Mfano mambo ambayo jamii inayaona ya kawaida na yanawatetezi wengi ni hali ambayo imeanza kujitokeza nchini ya wanaume kuonekana wamevaa sketi na jambo hilo linaonekana ni kawaida tu.hii si kawaida ni mwanzo tu wakuwavuta watu kuwa na roho ya kupindua mambo ya asili na taratibu watu wataanza kuona hata ushoga ni jambo la kawaida katika jamii.sasa hivi katika jamii zetu wanawake walioolewa kwa siri sana wanafirwa na baadhi wanaona ni kawaida lakini mwanaume wa namna hiyo akishaanza kwa mke wake hatashindwa kufanya kwa mwanaume mwenzake na hatimaye anaweza kulowea kabisa na kuamua kuoa mwanaume mwenzake(mbwa).​

Roho hizi ambazo pia ni roho za kupindua mambo ya asili huwapeleka watu hata kujamiiana na wanyama ,miti plastiki na hata midoli.

Shetani anatumia sana utandawazi katika kupenyeza agenda zake.Filamu na matamthilia za kimagharibi nyingi zimebeba agenda na maudhui yenye kuhamasisha watu kuona ushoga na ulawiti kuwa ni jambo la kawaida.Katika hali ya kawaida haiwi wazi sana lakini zipo hoja na matukio yaliyotengenezwa kukufikirisha na kuona kama wanaofanya hivyo wanasababu ya msingi.Mbali zaidi hivi sasa zimetengenezwa katuni kwaajili ya watoto wetu lakini ndani kuna maudhui au wahusika waliobeba sifa za mashoga/mahanisi.

Kupitia simu janja,wovuti na tovuti watu wengi wanakutana na picha chafu ambazo mwanzoni anaweza kuona ni vitu visivyofaa hata kuangalia.Lakini kadiri unavyoyatazama mara kwa mara unaanza kuona ni mambo ya kawaida na hatimaye unaanza kushawishika taratibu na kujikuta umeingia huko.​

MAMBO YAKUFANYA
  • Kukaa kimya na kuyaangalia mambo haya na kujifanya tumeyazoea tunapoyasikia tunakuwa tunampa ibilisi nafasi ya kuyahubiri na kuyaendeleza. Waefeso 4:27 Tunatakiwa kujiepusha na mbwa Wafilipi 3:2
  • Inahitajika viongozi wa dini shupavu wenye roho ya Mungu kwasababu hizi ni roho kamili na zinanguvu.Anatakiwa myu anayezikabili awe na Mungu vinginevyo itakuwa ni kazi bure au zitamvaa hata yeye mwenyewe na kumuangusha.Nyuma ya mambo haya kunaufadhili wa mamilioni ya fedha ambayo pia yanaweza kutumika kukutengenezea mizengwe na hata kukung’oa mahali ulipo.Sadaka ya mbwa hairuhusiwi kabisa hata kupokelewa. Kumbukumbu la Torati 23:18 Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya Bwana
  • Tusitumie maneno laini ili kupamba jambo hili.Hili linahitaji maneno makali kama Mbwa,ulawiti na ufiraji au kukoroga mavi.Kujamiiana kinyume na maumbile ni neno lililotiwa rangi, kufirwa au kufira si kujamiiana ni kubadili mambo ya asili .Huko ni kukoroga mavi.​
  • Serikali na jamii yote kwa ujumla hatupaswi kulionea haya jambo hili.Viongozi wa serikali, familia na walimu katika shule zetu hatupaswi kulifumbia jambo hili au kulionea haya kulizungumza.​
  • Vyombo vya habari vina wajibu wakupitia na kuchuja maudhui yoyote kabla ya kuyarusha na kuangalia kama kuna viashiria vyovyote vya ushoga na ufiraji.​
  • Elimu rika inahitajika sana, katika mambo ya ulinzi wa mtoto, mahusiano na utandawazi ili kuiepusha jamii na janga hili la dunia.​
  • Wazazi wanapaswa kupewa elimu ya malezi na ulinzi wa mtoto ili aweze kumlinda mtoto wake lakini pia ajue namna yakumuelimisha lakini kumfutilia mtoto wake asije akaanza kuaribiwa mapema na Mbwa.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom