Recent content by Chrisludos

  1. Chrisludos

    Viongozi Wastaafu Waheshimiwe. Haikubaliki Sumaye Kumwandalia Mapokezi Wema Sepetu

    Kuna mtu anasimama kutoa heshima kwa wema. [emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Chrisludos

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    If there is WhatsApp group, please add me 0756967894
  3. Chrisludos

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kali sana
  4. Chrisludos

    Mange Kimambi amemponza Dr. Mwele Malecela?

    Kwahiyo Le mutuz na Mange ni ni ndugu?
  5. Chrisludos

    Tazama jua lilivyo surface yake kwa karibu

    Huo moto katika jua unasababishwa na nini? Hauwezi kuzimika?
  6. Chrisludos

    Tigo wana 4G kweli au wanatuibia?

    Ninafahamu hilo, tatizo nikitumia tigo inaishia H+..haisomi 4g, wakati ninapotumia voda ni 4g mara chache H. Na speed ya 4g ni hatari.
  7. Chrisludos

    Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

    Akishawakamata atawapeleka wapi? Watashitakiwa kwa sheria ipi? Wakifungwa watapelekwa jela ipi? Ya wanawake au wanaume? Hili suala linahitaji nguvu na pia busara. Kama jamii tuangalie tumejikwaa wapi? Clouds wamechukuliwa hatua gani mpaka leo kwa kunadi ushoga? Hawa akina Joti, ambao kutwa...
  8. Chrisludos

    Tigo wana 4G kweli au wanatuibia?

    Simu yangu voda inasoma 4G na speed ni ya hatari. Ila tigo haijawahi kusoma 4g hata mara moja. Nishatembelea ofisini kwao mara 2, wanaiswap tu line yangu. Na bado 4g haisomi. Sijui tatizo ni nini.
  9. Chrisludos

    Wana CCM nisaidieni majibu ninaposafiri kwenda Ulaya-Wana UKAWA msinitukane ninapopewa majibu

    We jamaa ni mpumbavu sana, na upumbavu huu ni matokeo ya mfumo wetu wa elimu kwani nina uhakika shule umeenda enda ila hujaelimika. Naamini umefjka angalau kidato cha nne, lakini bado una akili mgando za kujibu hoja na maswali mazito ya uchumi na maendeleo kwa majibu mepesi uliyokaririshwa kuwa...
  10. Chrisludos

    Kiwanja kinauzwa, kipo Moshi pembeni ya chuo cha Mwenge

    Kiwanja kinauzwa, kipo Moshi mjini mita chache kutoka chuo cha Mwenge. Ukubwa 10 kwa 70. Bei ni 37mil. 0756-967894 kwa mawasiliano
  11. Chrisludos

    Nani kaenda Geneva, Uswisi na Ndege ya Rais?

    nawachukia sana watu wenye tabia kama zako, hizo ni tabia za kike..... Hii ni mada ya msingi, kila mtu ana haki ya kuhoji matumizi ya mali za uma.
  12. Chrisludos

    Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

    kuna kuweza, kutokuweza au kushindwa na kutowezekana. Kutokuweza kufanya kitu ambacho hakiwezekani,, haimaanishj kuwq hauwezi. Tunapima uwezo wako kwa vitu vinavyowezekana. Mungu anaweza kila kitu, hakuna kinachomshinda. Kuumba kitu ambacho yeye hawezi kukibeba haiwezekani na sio kama hawezi.
  13. Chrisludos

    Wabunge wa upinzani hawajui kula na kipofu

    Na Chrisludos Kwanza nianze kwa kuwapongeza wabunge wote wa upinzani waliofanikiwa kuchaguliwa licha ya changamoto mbalimbali walizokutana nazo. Ni wazi uchaguzi wetu katika ngazi zote haukuwa huru na wa haki kwa wagombea kutoka vyama vyote. Viashiria ni vingi kuwa tume ambayo ndio kama refa...
  14. Chrisludos

    Kete mbili ngumu kwa Magufuli

    Nianze kukiri kuwa Raisi Pombe ameanza vizuri katika uongozi wake wa serikali ya awamu ya 5, naamini akidendelea hivi serikali atakayoiunda itafanya kazi kweli kweli katika kusimamia taasisi zilizo chini ya serikali na kutatua shida mbali mbali za wananchi. Hakutakuwa na kufanya kazi kwa...
Back
Top Bottom