Fanya kupiga windows upya tu kama una vitu kwenye drive partition ilio na OS basi tafuta computer ingine funga Hio Hard Drive toa vitu muhimu rudisha upige windows.
Hio d620 ina usb port 2 za kulia ambazo zinaweza kutoka maana ziko embedded kwenye motherboard. Sasa tafuta machine ingine d620 or d630 zinafanana hizo, toa hizo usb port weka huku ili ujue tatizo lina anzia wapi. Zikigoma tafuta mtaalamu ata loop njia huenda short imezikata electronics...
Kitu simple hio kama una uelewa wa hardware maintenance fungua pc mpaka uifikie processor then toa ile cooler henye materials za copa au silva then utaona heat sink fluid imekauka cha kufanya safisha vizuri then weka heat sink fluid mpya. Wengine huita themal paste. Rudishia fresh machine enjoy...
Kusoma DIT sio kitu wala kufanya Degree MIT sio kitu.. Kitu Ni Wewe mwenyewe unasimamaje kwenye uwajibikaji wa kile ulichojifunza au unachojifunza. Tupo mtaani na tunafanya vitu vya walioenda skul. Maarifa yanaanzia kwako kabla hujayapata kwingine
Habari wakuu. Poleni Kwa majukumu. Naomba Msaada kutoa aina hii ya Virus IMG001 Ananisumbua sana kwenye windows 7 PC na nimejaribu Kwa Avast n Smadav nimeshindwa nikasoma internet nikapewa maelezo ila bado sijafanikiwa sababu programs wanazo nielekeza nizakununua. Msaada Wataalamu...
Hili ndio suluhisho sahihi kwa PC yenye tatizo Kama hilo. FUNGUA PC YAKO KISHA NENDA PALE KWENYE PROCESSOR FUNGUA ILE COOLER UTAONA PROCESSOR ANGALIA KAMA NI PIN AU PINLESS ITOE ZAFISHA SEHEMU INAPOKAA KWA PETROL THEN IRUDISHE KISHA PAKA HEAT SINK IKIGOMA TAFUTA HICHO KI PROCESSOR KINGINE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.