SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,504
- 646
Nimepata msala kwa sababu ya kisimu kidogo tu cha vodafone na sasa nimekuwa kama mtu asiye na mikono.
Nimetumia computer tofauti tofauti kwa muda sasa, lakini sijawahi ku-short USB Ports kama ilivyonitokea juzi wakati najaribu kuflash kisimu cha vodafone ambacho kilikuwa kimeshaharibiwa kwenye sehemu ya kuchomeka USD cable.
Hivyo nikaamua kutumia ile shemu ya pinout au pin points, sasa kwa bahati mbaya PC yangu ikawa imepata short kwenye USB ports.
PC inafanya kazi vizuri tu isipokuwa haidetect chochote ninachokichomeka kwenye usb ports zote nne.
PC ninayotumia ni Dell Latitude D620.
Naomba msaada kwa yeyote aliyekwisha kupata msala wa hivyo na jinsi alivyoutatua.
Sent from my cupboard using mug.
Nimetumia computer tofauti tofauti kwa muda sasa, lakini sijawahi ku-short USB Ports kama ilivyonitokea juzi wakati najaribu kuflash kisimu cha vodafone ambacho kilikuwa kimeshaharibiwa kwenye sehemu ya kuchomeka USD cable.
Hivyo nikaamua kutumia ile shemu ya pinout au pin points, sasa kwa bahati mbaya PC yangu ikawa imepata short kwenye USB ports.
PC inafanya kazi vizuri tu isipokuwa haidetect chochote ninachokichomeka kwenye usb ports zote nne.
PC ninayotumia ni Dell Latitude D620.
Naomba msaada kwa yeyote aliyekwisha kupata msala wa hivyo na jinsi alivyoutatua.
Sent from my cupboard using mug.