King Elly
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,206
- 1,321
Ninacho mkuu njoo uchangie bundle nikutumieNaomba hilo file mkuu model ni FP 789L-T
Ninacho mkuu njoo uchangie bundle nikutumieNaomba hilo file mkuu model ni FP 789L-T
Kwangu inagoma kudetect kwenye pc licha ya kuweka spd driver inaleta ujumbe usb device not recognized.Ninacho mkuu njoo uchangie bundle nikutumie
Kwangu inagoma kudetect kwenye pc licha ya kuweka spd driver inaleta ujumbe usb device not recognizedSmart kitoch hio Easy kabisa dakika 5 tu inawaka fresh
simu yako inatatizo kwenye upande wa usb mpelekee fundi ifunguliwe kwanza.Kwangu inagoma kudetect kwenye pc licha ya kuweka spd driver inaleta ujumbe usb device not recognized
Inapandisha charge freshsimu yako inatatizo kwenye upande wa usb mpelekee fundi ifunguliwe kwanza.
Badilisha usb ikileta hiyo ya meseji usb not recognised hapo inakubidi ubadilishe charging system huenda lines za data zimekufa zimebaki za kupeleke charges tu.Inapandisha charge fresh
Poa poa!!Badilisha usb ikileta hiyo ya meseji usb not recognised hapo inakubidi ubadilishe charging system huenda lines za data zimekufa zimebaki za kupeleke charges tu.
45,000 mbona simu kubwa kabisa hiyo,. watu tunahangaika mpaka na vifone v2 + ya 17,000 na ikiingia password tunaenda iflash kwa 5000 na ikiingia maji tunasafishiwa kwa 3000. maisha yanaenda kikubwa pumzi na uzima.Ila wabongo maskini sana yaani Simu ya 45K unateseka nayo hivyo?
45,000 mbona simu kubwa kabisa hiyo,. watu tunahangaika mpaka na vifone v2 + ya 17,000 na ikiingia password tunaenda iflash kwa 5000 na ikiingia maji tunasafishiwa kwa 3000. maisha yanaenda kikubwa pumzi na uzima.
wee endelea na XIOMI yako ya 700k au oppo yako ya 500k.
Uko Bukoba sehemu ganiSitumiagi simu ambayo sio flagship tena isiwe nje ya iphone na Samsung tena iwe current flagship. Karibu.


Utani Huo