Nonsense
Walichokifanya Hicho ni kipi cha ajabu..
Kipi ambacho haijawahi kufanywa
Nenda MIT Uone watu walivyo ma genius
Nenda pale Silicon Valley uone proposal za watu wakizipeleka kwa Angel investors uone watu wanavyofanya maajabu kwenye (technology)
Nenda HQ ya NSA uone maajabu ya data intelligence inavyofanya kazi
Angalau Hata kina maxsence Melo na wenzake wakianzisha JF angalau wamefanya maajabu ya tecnology Tanzania
Unasema maajabu je
Steve Jobs na

yake asemaje
He Microsoft wasemaje
He shazam wasemaje
Je FIFA 2017 na Xbox wasemaje
Je YouTube wasemaje
Eti maajabu
Pathetic