Maajabu ya wanafuzi wa DIT

Maajabu ya wanafuzi wa DIT

hamna maajabu hapo, wanafanya practical tu au mazoezi kwa vitendo. Hamna kifaa hata kimoja katika hivyo wameviunganisha ambacho wametengeneza wao. Walichofanya wao ni kuunganisha tu. Hata namna ya kufanya au kuunganisha hawajabuni wao, ni mbinu ya kutengeneza super computer ambayo ipo miaka nenda rudi.
Mtoa mada nimemuelewa agenda yake inaonekana ni maajabu kwa lugha iliyotumika na siyo maajabu ya kinachofanyika
 
Kama serikali haitowekeza vya kutosha kwenye sayansi na teknolojia tutaendelea kuona hayo ni maajabu. Supa kompyuta zilianza miaka ya 1960 na teknolojia yake iko mbali sana. Wakati wenzetu wakiwa kwenye nanoteknolojia, sisi tunashangaa kitu walichofanya hao watoto. Serikali na wadau wawe serious na hilo na kuacha mzaha.
 
Kama serikali haitowekeza vya kutosha kwenye sayansi na teknolojia tutaendelea kuona hayo ni maajabu. Supa kompyuta zilianza miaka ya 1960 na teknolojia yake iko mbali sana. Wakati wenzetu wakiwa kwenye nanoteknolojia, sisi tunashangaa kitu walichofanya hao watoto. Serikali na wadau wawe serious na hilo na kuacha mzaha.
Tatizo letu ni siasa ndugu, mfano mzuri kuna Kajengo kanaitwa Teaching Tower kanajengwa hapo DIT miaka nenda rudi kapo tu unafikri kuna wachawi
 
hamna lolote hapo, vilaza tu,hicho kitu kipo siku nyingi.
 
Tatizo letu ni siasa ndugu, mfano mzuri kuna Kajengo kanaitwa Teaching Tower kanajengwa hapo DIT miaka nenda rudi kapo tu unafikri kuna wachawi
Ni kweli kabisa, siasa imechukua mahala pa wataalam. Nchi hii ukiwa mwanasiasa hata kama ni std 7 unafikiri unajua kila kitu na kutoa maamuzi bila ya kushirikisha wala kusikiliza wataalamu. Nchi za asia zinazoendelea ni kwa sababu ua uwekezaji mkubwa kwenye sayansi na teknolojia na kupunguza siasa kwenye mambo ya msingi. Vituo vyetu vya utafiti haviko vizuri kwa sababu serikali haitoi pesa na wanategemea kuandika proposals kwa wahisani. Hatutofika
 
DIT ni chuo ambacho kinasemekana kinaongoza kwa Technology Tanzania angalia maajabu ya kitechnolgy wanayofanya hapa


Elimu ya hapa ni imara kwenye technical issues, but shida ipo kwenye kumfanya mwanafunzi kuto kuwa na understanding capacity kubwa kwenye taaluma husika,
 
Kama serikali haitowekeza vya kutosha kwenye sayansi na teknolojia tutaendelea kuona hayo ni maajabu. Supa kompyuta zilianza miaka ya 1960 na teknolojia yake iko mbali sana. Wakati wenzetu wakiwa kwenye nanoteknolojia, sisi tunashangaa kitu walichofanya hao watoto. Serikali na wadau wawe serious na hilo na kuacha mzaha.
Mkuu hiyo miaka ya 1960 ni majuz. Kuna mifumo ya umeme pale Uingereza/Europe at large ipo tangu miaka ya 1880 huko,sisi hadi leo hatuna.
 
Mi nina experience kuna lecture waliosoma master's nje lugha ya malkia ilikua ni shida class. Siwatetei hao vijana ila wanapofanya demonstration juu ya supercomputers ni jambo jema maana mitaala ya DIT inaonekana inaenda na wakati na practical wako poa mi hadi namalizia chuo hatukuwahi oneshwa router, switch na device nyingine bila we mwenyewe kupanda kujifunza. Tusilaumu kila kitu kuna watu wakubwa wenye nafasi kubwa kuongea dakika kumi fluent kimalkia ni utata
 
Mimi Nina wasiwasi na uwezo wa judgement yako hivi hapo ulipo unaweza kucompare USA na TANZANIA katika maswala ya kimaendeleo mpaka ulinganishe DIT na MIT?.Hivyo vyuo kwanza vina uwezo mkubwa kiuchumi kuliko Hiyo DIT unayoicompare kwa kuita nonsanse.Kwa hapo unatakiwa kuwapongeza na kuwatia moyo au kuwasupport kwa mile kidogo wanachokifanya kutokana na uwezo was kifedha walionao endapo wangekuwa na uwezo kama MIT wangefanya hata zaidi


mimi nimetoa comment kutokana na wao walivyokuja kujitangaza

unajua maana ya neno MAAJABU

yaani ni kama something ambacho wao ndio wamegundua.,, nilitegemea kuona something HUGE kumbe ni hiyo pathetic SUPER COMPUTER nilitegemea kuona maybe wamegundua 10K camera or something...

sasa hivyo watu wanafanya sana na yet sio maajabu ni vya kawaida sana
 
Mi nawasifu dit maana wanaonekana wanaenda na wakati vyuo vingine bado wanasoma teknolojia za nyuma mkuu supercomputer ni updated technology na ni kweli kingereza kinausika ila tulipitia advance pcm na kusoma kozi za sayansi uwa tunakosa mambo ya debate na kuzungumza mara kwa mara lugha ya maikia . Wenyewe tukiambia by default una output ......
Tushaelewana. Kulinganisha MIT na bongo hapo unalinganisha tui la nazi na maziwa. Mi worry yangu ni kwa wale waliopata fursa ya kwende kusoma huko wakija hapa hatuoni changes ndio na washang'aa


sio kama hauoni changes ni kwamba wanaajiriwa na makampuni makubwa ya technologia wakiboresha kampuni hizo mfano

ninawajua wabongo wanne wa MIT ninawahifadhi kwa majina

mmoja yuko

Qantas Airline (Australia)
mwingine yuko Google

mwingine sijui alipo

na mwingine yupo CBS
 
....ok sawa ila kwa taarifa yako tu Maxence Mello naye kasoma hapo hapo DIT.
Kusoma DIT sio kitu wala kufanya Degree MIT sio kitu.. Kitu Ni Wewe mwenyewe unasimamaje kwenye uwajibikaji wa kile ulichojifunza au unachojifunza. Tupo mtaani na tunafanya vitu vya walioenda skul. Maarifa yanaanzia kwako kabla hujayapata kwingine
 
Nonsense
Walichokifanya Hicho ni kipi cha ajabu..
Kipi ambacho haijawahi kufanywa
Nenda MIT Uone watu walivyo ma genius
Nenda pale Silicon Valley uone proposal za watu wakizipeleka kwa Angel investors uone watu wanavyofanya maajabu kwenye (technology)
Nenda HQ ya NSA uone maajabu ya data intelligence inavyofanya kazi

Angalau Hata kina maxsence Melo na wenzake wakianzisha JF angalau wamefanya maajabu ya tecnology Tanzania

Unasema maajabu je
Steve Jobs na yake asemaje
He Microsoft wasemaje
He shazam wasemaje
Je FIFA 2017 na Xbox wasemaje
Je YouTube wasemaje

Eti maajabu

Pathetic
Melo mwenyewe kasoma DIT, DIT wako vizuri mkuu
 
Noooo!!!! Mataifa mengi tu ya Afrika Kiingereza si Lugha yao ya Kwanza, lakini kwenye elimu ya taaluma kama hiyo wanakuwa vizuri ktk kujieleza, sasa tusipende kupeana moyo na kujazana ujinga, hao ndiyo walimu wetu veta tutegemee nini? Tafadhali tuwe serious jamani.
....nini wewe;
..anza we kuwa serious kwanza kwa kupost tena hii post yako kwa ung'eng'e!
 
Back
Top Bottom