mjadala mzuri ila mnachoboa kuchanganya hizo conflict na dini nijuacho uwe muislam ama mkristo kama gaidi we gaidi tuu.ila tusichanganye haya mambo na dini waache wao na propaganda zao
unajua huwa anawaambia hayo maneno wangapi na wewe ukiwamo?au hukwambia akiwa na mchepuko ili usishituke....wewe anaambiwa hivyo wakati kuna mtu anakugegedea taratiiibu..unakula maneno mwenzako anakula nyapu safii kabisaa
wazaz walifanya juhudi gani kumlea mtoto wao..siku za zamani kidogo walezi wazuri walikuwa wakina bibi na wakina babu hata leo iko hivyo.Angekuwa anadekezwa asingefika hapo alipofika.wazazi wasiojali mtoto na mtoto anaye ona walezi wake ni kama wazazi kwa sababu ya kumlea tangu akiwa na miaka 3...
Naona kama kuna kaukweli ndani ya maneno ya huyu Mchange.Maana mnyika kuna mambo hakujibu kwa mfano gari la Mwenyekiti kutumika kuteka.Mambo ndani ya CDM kuisingizia CCM na watu wengine.mtu kutoka ndani ya chama anaitwa msaliti na akirudi anaitwa shujaa(kamanda).
Najiuliza hivi kuna mamluki...
swali ambalo hujajiuliza ni kwanini wananchi walikuwa zaidi ya mia tano na polisi wasio zidi hamsini.baada ya mlipuko kwanini wapigwe wakati wanamfuata mtuhumiwa.kipi kinacho shinda kati ya mawe,chupa na kirungu.ungekuwa wewe ni polisi ungefanya nini?hakuna siasa kwenye vifo vya watu wasio kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.