ISIS executes British aid worker David Haines; Cameron vows justice

ISIS executes British aid worker David Haines; Cameron vows justice

Hizo sio propaganda, hayo ni mauji, tena ya kinyama ! Tofautisha propaganda na facts. Ni lazima watu wajue ili wachukue tahadhari !. Kama wewe unaamini mtu akichinjwa, basi watu wasiseme, basi wewe utakuwa mtu wa ajabu sana !

Wajibu gani ulioachwa hapa km sio akili mbovu?
We kuropoka ovyo ndiko kutasababisha hawa jamaa waache kuua?
Hujijui hujitambui kazi kuropoka tu!

Adui anapofanya maasi na akatoa Video ili watu waone maasi yale basi tambua kuwa Yyt mwenye kusaidia kuonyesha Maasi hayo AMEWASAIDIA Hao waovu KUSAMBAZA PROPOGANDA zao ktk Jamii.

Wewe na wale wanaowapa Promo hao maadui HAMNA TOFAUTI YYT.

Amka wewe mtoto!
 
Hizo sio propaganda, hayo ni mauji, tena ya kinyama ! Tofautisha propaganda na facts. Ni lazima watu wajue ili wachukue tahadhari !. Kama wewe unaamini mtu akichinjwa, basi watu wasiseme, basi wewe utakuwa mtu wa ajabu sana !

Sasa ukishaonyesha mtu kachinjwa ili wewe ufanye nini hasa?

Unasema ni Fact! Wakati wazungu wenyewe waliochinjiwa watu wao wanasema huenda ikawa ni Hoax!
Na Nchi zote za Europe Kusambaza Video ya mauwaji hayo ni Kosa la Jinai!
Sasa jiulize we mwafrika mwenye elimu ndogo! Km kusambaza Video hio kungeleta mabadiliko au faida yyt kwanini serikali km ya Uingereza Ipige marfuku kufanya hivyo?

Elimu ni kitu muhimu sana.
 
mjadala mzuri ila mnachoboa kuchanganya hizo conflict na dini nijuacho uwe muislam ama mkristo kama gaidi we gaidi tuu.ila tusichanganye haya mambo na dini waache wao na propaganda zao
 
Muzee Mdhakkar napenda kukosoa hapo kidogo kuhusu issue ya rwanda,infact ni wahutu ndio walioufanya huo unyama sio watusi msichanganye watu hapa.Isis nashangaa sana kuona wakristo wengi hapa wanang'ang'aniza eti ni waislam,wale wahuni mimi kila siku napinga na kuuhoji uislam wao sijui ni kwa nini wazidi kushurutishwa kuwa ni waislam,unajua kuna viadui vingi sana vya uislam nasasa ndio vimepata nafasi ya kutoa matusi yao dhidi ya uislam,kusema Allah Akbar peke yake hakuwezi kumfanya mtu awe ni muislam,kuna sheria zake pamoja na nguzo za kufuatwa na kuamini ukifanya hivyo ndio utaitwa muislam,muislam hakamati watu hovyo hovyo na kuwachinja hadharani kama hawa jamaa basi kama ingelikuwa ni hivyo basi hii leo makafiri wote nchini wangelikuwa wamesafishwa kabisa,lakini sisi waafrika ndio tunaufuata uislam jinsi unavyotufundisha walimwengu,kuishi kwa amani na upendo na kuheshimiana.M/Mpamba.End.
 
Hawa watu ni washenzi na mashetani wakubwa yani inakuaje unamchnja mtu ambaye amejitolea kutoa misaada kisa Mwingereza,sio kama upunguani na urofa!
FYI hizo ndio tacktick wanazo tumia USA na UK ili washambulie nchi na hio ISIS ni kikosi ambacho kinafata amri an sheria za USA, hio ISIS wapi na wapi na Uislam.

Kumbukeni hata Paulo mtume wawakristo alikuja badilisha sheria za Yesu na Mussa, Yesu alisema hakuja badilsiha sheria ya Tourat, mtume wa wakristo akasema Yesu ni mjinga yeye ndio ana akili zaidi, lazima mmefata wakristo wote.


Sa hawa USA na UK watashindwa kuchinja watu kwa kutuma kikosi chao cha ISIS amabacho dunia nzima wanajua wao ndio wamekianzisha, ili wapate kuwadanganya wananchi zao. Ni yale yale aliyo yafanya Paulo alipokuja kuitukana Tourat ya Musa akasema ina laana.

Romans 7:6

6 But now we are released from the law, having died to that which held us captive, so that we serve in the mnew way of nthe Spirit and not in the old way of the written code.3

Warumi 7.6 6 Tusemeje, basi? Torati ni dhambi? Hasha! Walakini singalitambua dhambi ila kwa sheria; kwa kuwa singalijua kutamani, kama torati isingalisema, Usitamani.


Hata hivyo naendela na msimamo wangu USA hawezi kusogea Syria anajua kitu gani kina mgoja, Syria ana marafiki ambao wako tayari kusimama naye kwa kila kitu, mtanza kuona taratibu kuna nchi zinajitoa na zitamuwacha USA peke yake, kwenye vita hio anayo itafuta.
 
wapi katika Biblia kumeruhusiwa ndoa za jinsia moja.......
Bibilia zenu zinaruhusu ushoga.

There is an extensive and very sympathetic description of a same-sex relationship in the Bible, the story of David and Jonathan, e.g.: 1 Samuel 18:1-5, 1 Samuel 19:1-7, 1 Samuel 20:30-42, 2 Samuel 1:25-6. While their bond is described as non-sexual, it is difficult to characterize it as purely one of friendship.

Jonathan was the son of Saul, David's nemesis. Their souls are described as 'knit together'. David and Jonathan 'made a covenant, because he loved him as his own soul.' The word convenant is significant, because in the Tanach this word always implies a formal legal agreement. To mark this convenant, Jonathan literally gives David the clothes off of his back, as well as other gifts such as weapons.

Later in the narrative, Jonathan successfully intercedes with Saul to spare David's life. At their last meeing, 1 Samuel 20:41, they are described as kissing one another and weeping together. David's grief at Jonathan's death is profound and moving. In Davids lament for Jonathan he describes their friendship as '(sur)passing the love of women'. This elegy, 2 Samuel 1:18-27. known as 'the Bow,' is one of the most beloved passages in the Hebrew Bible.
 
Aid Worker my foot!! Western media zinatafuta sympathy ya dunia na kujifanya wao ni malaika na ISIS ni mashetani. Hao wanaochinjwa sio journalists wala aid workers, ni spies wa serikali za Britain na America.

Kwa roho gani nzuri walionaoyo kujifanya kwenda huko iraq na syria eti kusaidia wakati ni wao wao wanawapiga ma bomb! Its bullshit. Waacheni hao waarabu waishi wanavyotaka, heri yao wanaweza ku fight the western system.


Tatizo lao wanatumika sana na West hasa kwenye mambo yanayohusu mafuta. Waarabu hawajajitambua bado.
 
Back
Top Bottom