Makey Hunter
Member
- Oct 2, 2011
- 20
- 2
Polisi washakua adui wa usalama wa raia na mali zao
Nimekoswa risasi hapo karibu na kwenye maduka ya kwenda stand ndogo!!
Nilikuwa natokea ofcn kwangu mitaa ya stadium. Difender ikaja kwa kasi pasipo mimi kujua wakati navuka barabara kuelekea stand ndogo. Jamaa walikimbia na nilikuwa wa mwisho kukimbia.
Nilisikia sauti piga risasi huyo wa mwisho?! Kugeuka akawa anajiandaa kwa kushusha kioo na kuninyooshea bunduki.
Nikalala chini! Nikasikia sauti tena mfuate palepale?! Kunyanyua kichwa akawa anafungua mlango ashuke!
Nikanyanyuka na kuingia duka jirani na kujifungia!!
Wakaondoka??!
Tangu vita vya Kagera watu hawajaona vita kwa hiuo wamesahau ndiyo maana wanaitafuta vita kwa udi na uvumba. Waulizeni watu walokuwa Kagera ndipo mtajua madhara ya vita. Tena vita ya wenyewe kwa wenyewe ni mbaya zaidi iwa kuwa huwa haiishi. Jamani. Tusifike huko.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Wapuuzi kabisa mnashindwa kuheshimu mamlaka zilizo kisheria mkishughulikiwa mnaanza kulialia pambaneni tu nyie sini makamanda?
Nimekoswa risasi hapo karibu na kwenye maduka ya kwenda stand ndogo!!
Nilikuwa natokea ofcn kwangu mitaa ya stadium. Difender ikaja kwa kasi pasipo mimi kujua wakati navuka barabara kuelekea stand ndogo. Jamaa walikimbia na nilikuwa wa mwisho kukimbia.
Nilisikia sauti piga risasi huyo wa mwisho?! Kugeuka akawa anajiandaa kwa kushusha kioo na kuninyooshea bunduki.
Nikalala chini! Nikasikia sauti tena mfuate palepale?! Kunyanyua kichwa akawa anafungua mlango ashuke!
Nikanyanyuka na kuingia duka jirani na kujifungia!!
Wakaondoka??!
Wadau,
Nimekaa, nikatafakari juu ya taarifa inayohusu mlipuko huko Arusha na kujiuliza maswali haya bila jibu:
- Ni kwa nini Polisi waende kwenye mkutano wa hadhara (kama huo wa huko Arusha) huku wakiwa na silaha za moto?
- Je? Sheria za ulinzi na usalama hasa zile zinazowasimamia Polisi zinasemaje kuhusu ubebaji na utumiaji wao wa silaha za moto?
- Hata kama ni kwa kujihami na fujo za raia, yale maji ya kuwasha, risasi za plastic, virungu, n.k viko wapi mpaka watangulize silaha za moto?
- Hao viongozi wetu (Pinda, Kikwete, Lukuvi, n.k) ambao mara kwa mara wamekuwa wakiwakingia kifua hawa Polisi wanaoua raia mara kwa mara nao hawajui hizo sheria? Au wao ndio wanaowatuma? Mbona watu kama Pinda na Kikwete hawafananii kuwa na roho kama hizo? (Labda Lukuvi).
- .........? :shock:
Naomba mnisaidie kupata majibu ili roho yangu itulie kwenye msimamo mmoja! Ahsanteni.
Hatua imani tena na jeshi la polisi,hilo ni jeshi la ccm cyo tanzania mwisho wao umefikaTangu vita vya Kagera watu hawajaona vita kwa hiuo wamesahau ndiyo maana wanaitafuta vita kwa udi na uvumba. Waulizeni watu walokuwa Kagera ndipo mtajua madhara ya vita. Tena vita ya wenyewe kwa wenyewe ni mbaya zaidi iwa kuwa huwa haiishi. Jamani. Tusifike huko.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Tangu vita vya Kagera watu hawajaona vita kwa hiuo wamesahau ndiyo maana wanaitafuta vita kwa udi na uvumba. Waulizeni watu walokuwa Kagera ndipo mtajua madhara ya vita. Tena vita ya wenyewe kwa wenyewe ni mbaya zaidi iwa kuwa huwa haiishi. Jamani. Tusifike huko.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
wangeanza na kwao moshiNatamani maandamano ya nchi Zima kwa sasa sijui kwa nini viongozi wangu hawayaitishi maana tunayahitaji wakati huu kuliko wakati mwingine wowote ule
Wanakufahamu wewe ni nani? Mpaka wakufatilie hv?Nimekoswa risasi hapo karibu na kwenye maduka ya kwenda stand ndogo!!
Nilikuwa natokea ofcn kwangu mitaa ya stadium. Difender ikaja kwa kasi pasipo mimi kujua wakati navuka barabara kuelekea stand ndogo. Jamaa walikimbia na nilikuwa wa mwisho kukimbia.
Nilisikia sauti piga risasi huyo wa mwisho?! Kugeuka akawa anajiandaa kwa kushusha kioo na kuninyooshea bunduki.
Nikalala chini! Nikasikia sauti tena mfuate palepale?! Kunyanyua kichwa akawa anafungua mlango ashuke!
Nikanyanyuka na kuingia duka jirani na kujifungia!!
Wakaondoka??!
.....duh, kama James Bond aisee!!!
😉
Hujasikia hapo juu jamaa alikua anatoka zake kazini wakataka kumlenga kama mnyama-pori. Haijalishi unaandamana au huandamani you will fall victim of policcm. Hawa jamaa ni kama wehu and someone has to stop them and put them down to their knees. Kama unachagua kufa bila kelele waache wanaotaka kufanya kitu/
Chadema sijui wana nia gani tu!! Yaani huwa wanajazana upepo tu, halafu wale wachache wenye kauwezo ka_kufikiria kidogo, matatizo yakianza huwaoni!!! Mungu tusaidie kwa kweli sijui hawa watu wametoka wapi!!
Wanakufahamu wewe ni nani? Mpaka wakufatilie hv?