Hakuna cha bure dunia hii labda "hewa ya kupumua aliyotupa mwenyezi MUNGU"bora huyo ameonyesha dalili za kukutaka lakini wengine huumia kimyamya wakitoa misaada kama hiyo!!
Nmb huduma kwa wateja mje mtolee ufafanuzi hili tatizo..maana ni kweli toka jana mastercard zinangua mpaka leo tatizo hilo hilo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wasi wasi na hili la kutolewa gerezani usiku kwenda kulala kwake halafu asubuhi anarudishwa! sidhani kwa mfumo wa ulinzi wa magereza yetu kama linawezekana, anyway ni wakati sasa wa kuangalia hata vipato vya hawa askari kama vinalingana na kazi wanazozifanya..maana kulinda mijitu nyenye...
Ila miradi mingi iliyopo kwenye majimbo ya mkoa wa Dodoma kwa ujumla inashida...mfano miradi ya umeme wa REA wanaweka kijiji kimoja baadhi ya maeneo wanayaruka bila sababu za msingi; kuna haja hata wabunge husika wa mkoa huo kujitathimi...
Bado mi naamini mh Rais yuko sahihi...watu wachache walituchezea sana akili! hela imeletwa kwa ajili miradi mbalimbali ndani ya shirika we unaidhinisha iende fixed acc ili riba itakayopatikana uweke mfukoni.....asante sana mh Rais shikilia hapohapo ili na wao waishi kama "mashetani"!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.